Utamu wa mabinti walio okoka

Mabinti waliookoka hawavai hereni, mikufi, pete, na bangili.
Mabinti waliookoka hawajirembi kwa rangi za mdomo, rangi za uso, kucha wala rangi za macho.
Babinti waliookoka 'hawakaangi' nywele zao, wala hawasuki nywele wala hawajipambi kwa nguo za thamani kubwa.

Biblia inasema hivi katika 01 Timotheo 02:09-10:-
" 09: Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;10: bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu".

Ndo kifungu alichokuwa anatumia Kakobe ! Daah ndo maana walizitema wenyewe !
 
jaman tutambue neno la MUNGU ni taaa.na biblia aijipingi ila ww ndio unayejipinga kutoka na kutaka mavumbuz mengi....ila uliumbwa mkamilifu Mwanadamu aliumbwa mkamilifu..soma mhbr 7:29.achen kuhalalisha dhambi kuwa haki...tutahukumiwa kwa kupotosha neno la MUNGU
 
Natafuta binti aliye okoka kama mm mwenye kaz ya kuajiriwa au msomi aliyejiajiri . Mm nina degree moja nimeajiriwa serikalini. Nipigie kwa0762991229
 
attachment.php


Ameokoka nini>
Kweli wakubwa wanafaudu ace!
 
Back
Top Bottom