Huyu mkaka jamani lol

Huyu mkaka jamani lol

Heheheh....make up stories hizi jamani

Mkuu hii sio make up, kwani sie wadada haturuhisi kutamani? Au ninyi ndio mna haki ya kutamani? Hivi kweli nipoteze muda nisilale kisa nitengeneze story? Come on!
 
Mim ushauri wangu achana na nae kwasababu kwa hiyo tabia yke ya kuanika wasichana hovyo sio nzuri kabisa
 
Kutofichika si tatizo...lakini jirani nauliza kwa rafiki wa kawaida kaiona vipi?

Lets be realistic...

As i wrote ni rafiki yangu sana, we use to hang out mara kadhaa. Hupendelea kuvaa body tight. Unataka kunambia hapo hazitoonekana?
 
Mkuu hii sio make up, kwani sie wadada haturuhisi kutamani? Au ninyi ndio mna haki ya kutamani? Hivi kweli nipoteze muda nisilale kisa nitengeneze story? Come on!

Mna haki za kutamani kama wanaume, as long as kutamani is unconditional...

Unajua abs sio kama wowowo au matiti kwamba mtu akivaa hata nguo utayaona,...

Ni ngumu kuziona kama mwanaume hajavua nguo ya juu, trust me hata akivaa tight au vest ni ngumu kuziona...
 
Partner wako wakati mwingine huwa ni mchokozi tu wala usikonde partner.

Hivi Partner unajua like zingine ni za uchokozi? Umelike nini sasa hapo.ama ushanistukia?
 
As i wrote ni rafiki yangu sana, we use to hang out mara kadhaa. Hupendelea kuvaa body tight. Unataka kunambia hapo hazitoonekana?

Anyway...if you insist ngoja tu-abide na ukiandikacho
But i'll be the last person to believe hii kitu yako mkuu, unless hiyo part uliweka kunogesha tu....
 
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
 
Anyway...if you insist ngoja tu-abide na ukiandikacho
But i'll be the last to believe hii kitu yako mkuu, unless hiyo part uliweka kunogesha tu....

Ok, though sikutaka kufunguka zaidi ila naona unanilazimisha. Lemme put it like this. One day we went to swim ndiyo nikaziona. Bhaaaaaasssss!
 
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof

Got u very well
 
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
Oyaaa. Kalaleeeee ukiamka uandike vizuri
 
Ok, though sikutaka kufunguka zaidi ila naona unanilazimisha. Lemme put it like this. One day we went to swim ndiyo nikaziona. Bhaaaaaasssss!

Okay...

Hakuna anayekulazimisha mkuu, ila kuna watu ambao tupo makini na kila neno mtu aandikalo...

Mimi nilitaka kujua ni mazingira gani yaliyokufanya uone hizo abs zake....lakini ukaanza kuchechetuka weee.

Sasa ona unavyomix madesa, mara uliziona akiwa kavaa tight, mara mlienda kuswim...

Hasta pronto ! Señorita
 
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.

I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.

Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Tabia hizo hua hatuachi kwa sababu tunawavutia wengi kama ilivyo kwako.. tena wenzio wanapiga hatua zaidi wanatueleza how they feel about us..onja ukishindwa utaghairi jambo ambalo hua gumu pia..tafakari .
 
Back
Top Bottom