Biashara kwa xaxa ni ngumu tofaut unavyoifikilia ww watu wanaacha mpka kodi kwa hyo m5 yko unataka ulipe kodi na kias kinacho baki kiingie kwnye mzunguko ni kias gan
Nakushaur tuliza kichwa chako sna ukichagua biashara halafu mtu ukitaka kufanya biashara achaguliwi ni ww na mawazo yko ndo utaiongoza hyo biashara mkuu ww jiroge uchaguliwe biashara ya kufanya
Kuweka pesa yko benki ili iweje halafu wakati wa kwema kuichukua mizungusho kibao huo mshamba kama unajiamin unatunza mwenyewe tuu pesa yko sio lazima watu wajue unapesa benk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.