Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,988
- 69,380
Hii story haikuhusu wewe kweli? Unamsingizia dada wa wtu bure..nimesoma title nikagundua kitu...Hahahah..Anyways pole sana ndio mapenzi ya siku hizi uaminifu ni sifuri
Mdada anasimulia leo kazini, kila akipekua nguo za mpenzi wake anakutana na pakiti pungufu ya Condom.
Mara ya kwanza kuzikuta alimuuliza, Jamaa akasema sio zake za rafiki yake, kuna kipindi alisafiri akamwachia nyumba rafiki yake amwangalizie kwaiyo akapata sababu.
Jana wakati anafua nguo akawa anapekua kwenye mifuko ya suruali, akakutana na pakiti tupu ya Condom, anasema alichofanya akakichukua akakiweka kitandani.
Hajamuuliza wala Mwanaume hajaongelea kitu, kafanya kama hajaona iyo pakiti iliyowekwa kitandani.
Yupo kwenye ushindani na Nafsi yake hajui aamue lipi.
Mimi binafsi nimemwambia ashukuru Jamaa anakumbuka kuvaa soksi anakozurura, wanaume wote hawajatulia asimwache atulie.
Ila ningekuwa mimi ndokwanza ningemnunulia boksi zima namuwekea asipate shida.
Unaonekana wewe ni mwanamke Mwenye busara. Rafiki yako alipaswa atoe Shukrani na Sadaka kwamba huyo jamaa anampenda na kumlinda. Kutotumia condom ni janga kubwa katika jamii kwa sasa.Mdada anasimulia leo kazini, kila akipekua nguo za mpenzi wake anakutana na pakiti pungufu ya Condom.
Mara ya kwanza kuzikuta alimuuliza, Jamaa akasema sio zake za rafiki yake, kuna kipindi alisafiri akamwachia nyumba rafiki yake amwangalizie kwaiyo akapata sababu.
Jana wakati anafua nguo akawa anapekua kwenye mifuko ya suruali, akakutana na pakiti tupu ya Condom, anasema alichofanya akakichukua akakiweka kitandani.
Hajamuuliza wala Mwanaume hajaongelea kitu, kafanya kama hajaona iyo pakiti iliyowekwa kitandani.
Yupo kwenye ushindani na Nafsi yake hajui aamue lipi.
Mimi binafsi nimemwambia ashukuru Jamaa anakumbuka kuvaa soksi anakozurura, wanaume wote hawajatulia asimwache atulie.
Ila ningekuwa mimi ndokwanza ningemnunulia boksi zima namuwekea asipate shida.
Hiyo ni aina ya uhandishi Mkuu kama msomaji mzuri hata wa Magazeti huwezi kushangaa.Hii story haikuhusu wewe kweli? Unamsingizia dada wa wtu bure..nimesoma title nikagundua kitu...Hahahah..Anyways pole sana ndio mapenzi ya siku hizi uaminifu ni sifuri
hilo neno miss chaggasasa ameoa yote hayo thats means anajua analolitaka..
okey alazimishe ndoa halafu aje alalamike kuwa mwanume si mwaminifu atake kuondoka na mtoto haloo mwambie huyo akiolewa naye ajiandae tu kisaikolojia
safihilo neno miss chagga