The Hurricane
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 760
- 1,049
vipi mkuu bado yapoPoa mkuu usijali.
vipi mkuu bado yapoPoa mkuu usijali.
nasikia iko mifuko maalum ya kuhifadhi nafaka zisioze bila kuweka dawa ni kweli? iko wapi? bei gani?Ungekuwa na mzigo wa kutosha ningekusakizia mteja wa 680 kama inakuridhisha. Ila ukitaka kufaidika yatie dawa utulie nayo mpaka December.
we uko wapi mi niko Arushayapo
Ipo mkuu inaitwa PICS, mara nyingi inauzwa kuanzia 4000, inapatika kwenye maduka ya pembe jeo za kilimonasikia iko mifuko maalum ya kuhifadhi nafaka zisioze bila kuweka dawa ni kweli? iko wapi? bei gani?
Acha kujitia msomi mburura we we elimu haina mwisho mxieeeeeewKwann hukusoma shule...
Assnte mkuuu nlijua maind mazto kuliko mcheleNi kati ya kg 18 hadi 20
Tuko pamoja mkuu.Assnte mkuuu nlijua maind mazto kuliko mchele
namuomba na mm huyo mteja 0654567777Ungekuwa na mzigo wa kutosha ningekusakizia mteja wa 680 kama inakuridhisha. Ila ukitaka kufaidika yatie dawa utulie nayo mpaka December.
nasikia iko mifuko maalum ya kuhifadhi nafaka zisioze bila kuweka dawa ni kweli? iko wapi? bei gani?