Mbona sipati mke wa kuoa jamani?

Mbona sipati mke wa kuoa jamani?

Inamaana kutongoza haujui au unatuzogoa mzee baba
 
Usichoke kumuomba Mungu ipo siku yako atakuja mke wa kufanana na wewe
 
Tengeneza mlinganyo kwanza then anza ku-solve for X , hiyo X ndo itakuwa thamani ya mkeo umtakae......mana hapa unatafuta mke usiyemjua.............au siyo boy......?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom