Recent content by mkataa

  1. M

    Watanzania Wameanza kumuelewa Dr Slaa na Siasa za Kukurupuka

    tatizo huwa hampendi kuona mtu anaseme tofauti na mnavopenda nyiinyi na kwa tabia hiyo mtaongozwa na matahira iko siku
  2. M

    Watanzania Wameanza kumuelewa Dr Slaa na Siasa za Kukurupuka

    mnaweza kumlaumu bure huyu jamaa ila huyu c mzima kabisa laana ya kuiba mke wa mtu c mchezo nyie subirini tu iko siku nchi hii tutaongozwa na matahira.......
  3. M

    Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

    Hivi karibuni ccm wamejivua gamba na wametangaza rasmi vita zidi ya mafisadi ndani ya chama chao kitu ambacho kinachonifanya nione mtaji wa rafiki yetu slaa ccm wameuchukua suala la ccm kutangaza vita zidi ya mafisadi litawafanya wanachama wao wengi ambao walikuwa wamepoteza imani na chama...
  4. M

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    mzee huwezi kubisha juu ya udini wa chadema cz hao wanaolalamika kuwa chadema ni chama cha kanisa wanaushahidi mzee na hata mimi nilishausoma na baadhi ya sehem za waraka huo mapadre wanawasisitiza waumini wao kuwa chama chao ni CHADEMA na mipango yote imekamilika juu ya nini kitafata baada ya...
  5. M

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    endelea kujidanganya na kuendekeza uvivu wako wa kufikiri baada ya muda utajua kama kweli hawafiki 500 na wanatokea tandale......fool
  6. M

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    kiukweli waislam waliosoma ndo ambao sasa wanawafungua macho hao wenzao ambao walikuwa hawajui kilichotokea kabla na baada ya uhuru....ambao walikuwa hawajui mfumo kristu ni kitu gani na muda si mrefu waislam wote watajua kilicho na kinachoendelea
  7. M

    Balaa lingine lamwangukia Dr Slaa

    mi naona tuache ushabiki na tufikie wakati tuliangalie hili kwa undani.kuacha kujisafisha juu ya hizi tuhuma ni balaa na itapunguza imani ya watu na hasa wale ambao walikuwa njiani kuelekea ktk peoples power.
  8. M

    Risk Assessment and Management: CHADEMA nayo Imuondoe Dr. W. Slaa!

    Habari za jioni wana jf.jana nilibahatika kuwa ktk mkutano wa Dkt Slaa. Katika viwanja vya chipukizi hapa tabora na kusikia listi mpya ya mafisadi wamalizao nchi yetu. Wakati dkt akiendelea na mada zake hadhira nayo ilikuwa na yake..nilikuwa nimekaa na kundi fulani la watu ambao siwajui na...
  9. M

    Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

    tunamsubiri kwa hamu rais mtarajiwa vijana huku tupo imara sana kwa ajili ya ukombozi nazani listi ya leo na NAPE pamoja na MAKAMBA wapo sasa sijui watajivua tena gamba?????
  10. M

    CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

    kiukweli swala la udini linazungumzwa sana hata mimi kunawakati linaniumiza na hata sijui hawa ndugu zangu waislamu wamelishwa vipi hii zana inafikia hata wakikujua na wewe ni chadema inakuwa ishu...labda jamaa ana point viongozi waliangalie hili ili na sisi tukae na amani tuikomboe nchi yetu...
  11. M

    Hivi Kilango ni nani?

    labda ungefafanua vizuri unachomaanisha mkuu kabla ya yote
Back
Top Bottom