nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi zake kwani ni viongozi wachache sana katika dunia hii wanaoweza kusafisha chama tena kwa kuondoa viongozi wa juu kabisa,hili liwe fundisho kwa wapinzani hapa nchini kwamba mabadiliko ndani ya chama yanawezekana ikiwa tuu watatumia busara.
sisi vijana wako tuko pamoja katika ujenzi wa nchi hii,Mungu akubariki na akulinde siku zote.
CDM sasa wanatapa tapa hawana cha kuongea,coz CCM is now moving to another step,baada ya kuunda safu nzuri sasa tunaelekeza nguvu zetu katika kuwafanyia kazi watanzania
NYOKA AKIVUA GAMBA ANAGEUKA MAMBA AU KENGE? CHAMA CHA MAGAMBA{CCM}.WEWE UNAZANI NI NANI ASIYEJUA MAOVU YENU,WADANGANYENI WAZUNGU WABONGO WAMESHASHITUKA. Au WEWE NI MZUNGU NINI?nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi zake kwani ni viongozi wachache sana katika dunia hii wanaoweza kusafisha chama tena kwa kuondoa viongozi wa juu kabisa,hili liwe fundisho kwa wapinzani hapa nchini kwamba mabadiliko ndani ya chama yanawezekana ikiwa tuu watatumia busara.
sisi vijana wako tuko pamoja katika ujenzi wa nchi hii,Mungu akubariki na akulinde siku zote.