Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mhhh Mbona Mnamnanga hivyo muheshimuni jamani, mwana mama huyu, katusaidia sana kuwajua vizuri mafsadi papa wa CCM , wakati akipambana nao mbona haya hamkuyasema, Kumuita Mnafiki mnakosea sana Acheni kumwita "MBAKAJI" wa wazee, yaani Kumbaka mzee Malecela kwa kuwa alivutiwa naye na Kumita Dume la Mbegu ingawaje mpaka sasa hana mtoto naye, sijui mbegu hiz za John zinahitaji kwenda kwa Babu zikarutubishwe!!!!!lol
wewe sasa ivi babu yako na bibi yako wakizaa utafurahi?