Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
MZEE I DOUBT YOUR INDICES!! but tushaona wengi wa dizaini yako,wee utapita na wengine watakuja tuu that is politics,ila jua CDM wankutumia vibaya,kwani CDM huko peke yako?? kwanini wakupe mzigo wa kutaja majina kila siku kitu ambacho kingeweza hata kutajwa na katibu mwenezi wenu au unahisi ukitaja majina ndio unajiongezea umaharufu?? kimsingi watanzania wanataka mengi zaidi ya kuwatajia majina ambayo kimsingi huna nguvu yoyote ya kuwashughulikia! change strategy mzee
You posted the thread with a motive behind asking our contribution. We contribute, Dr. Slaa contributes, you pretend HE IS BEING USED by CDM he will pass as if you and others will remain. Most of know about now, we would like to make changes now, we would like an disgraced exit of MAFIDI now. Dr Slaa is living now he has to do what he can do now as you are confusing us now.
The worst thing you always pretend to write on behalf of Tanzanians, I am a Tanzanian and appreciate Dr. Slaa's effort to expose MAFIDA, in the air he has unwavered support except for you syphathy. Mafisadi watajwe sasa, waondoke sasa pamoja na ccm yao iondoke sasa pamoja na wapambe wake wa ufisadi.
WHAT DR. SLAA AND CDM DOES NOW DETERMINES OUR TOMORROW.