Watanzania Wameanza kumuelewa Dr Slaa na Siasa za Kukurupuka

Dr.Slaa,
Mkuu wangu hna saabu ya kujibishana na watu ambao hawataki kusikia ukweli. Swala la container la makaratasi ya kura ninathibitishwa na kuwepo kwa kura haramu ndani ya nchi. Ingawa CCM na serikali walikataa kuwepo kwa container hilo bado polisi waliweza kukamata baadhi ya makaratasi feki ndani ya nchi hivyo kuthibitisha kuwepo kwa hizo karatasi..

Hata tunapoona noti feki nchini zinatumika ina maana zimechapishwa kinyume cha sheria, sasa ni maajabu sana tunapokataa kuingizwa kwa noti hizo nchini wakati zipo nchini ili mradi kukana tukio la kuingizwa nchini wakati noti hizo feki zipo nchini na zinatumika.. Ujinga gani huu jamani!

Binafsi naamini kabisa kukana kwa serikali kuingia kwa container hilo kunaifanya serikali yenyewe kuwa mshirika mkubwa wa kuingiza container hilo, otherwise sioni sababu kwa nini walikana pasipo kufanya uchunguzi?
 
2) Hoja ya siku 9 kwa Kikwete kupunguza bei ya sukari. Ni mtanzania gani hajui kuwa kutokana na shinikizo hilo Kikwete katekeleza agizo la kushasha bei ya Sukari kutoka alichoita mwenyewe 2,200 hadi 1,700 na baada ya siku 3 kuishusha chini zaidi kuwa 1,500(japo Kikwete bila kupanga kashusha kwa kuagiza wauzaji wadogio kushusha beio zao kwa mlaji bila kujua kwanini imepanda,mwuzaji huyo naye alinunua kwa kiasi gani, nasa ni katika hatua gani inapanda(kukurupuka huko ndiko kunafanya agizo hilo lisitekelezeke) Lakini kwa maana ya agizo la Chadema Kikwete amelitekeleza ndani ya siku 9. Mtanzania gani hajui katika ziara zake kwenye wizara aliagiza bei ya Mafuta ya kupikia, sembe,maharage zishushwe? Kama agizo la Chadema limetekelezwa ila kwa kiwango gani na namna gani ni swala lingine. Ndiyo maana tumeendelea kumwita msanii, tumeendelea kumtaka kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.

With all due respect Dr,bei ya sukari duniani ilikuwa ikiongezeka kwa kasi tangu mwezi wa nane 2010,kutokana na mambo mbali mbali kama vile natural disasters zilizoikumba BRAZIL,kupanda kwa bei ya mafuta(leading to ethanol as a cheaper alternative)n.k.
Kwa mwezi march na April bei ya sukari imeshuka kwa takriban 329 points(almost 10% if yuo know what that means).Najua uli demand JK apunguze bei,ila ukiangalia kwa undani bei ya sukari kupungua is just a reflection of the world sugar index.
You are a politician,a great politician,so I expect you to politicize this trend and coincidentially it worked because you are rumbling with a government that is weak ind misinformed.
Thanks but no thanks,your demands didn't really affect the decline!





World food prices fall for first time in eight months
(AFP) – Apr 7, 2011
ROME — World food prices fell for the first time in eight months in March after record highs largely due to oil prices, though the situation remains volatile, the UN's food agency said on Thursday.
The Food and Agriculture Organisation's Food Price Index dropped to an average 230 points in March, down 2.9 percent from its peak in February, but still 37 percent above March 2010, the Rome-based agency said.
"The decrease in the overall index this month brings some welcome respite," said David Hallam, director of the FAO's trade and market division.
"But it would be premature to conclude that this is a reversal of the upward trend," he added.
The FAO index, which monitors average monthly prices for key staples, showed international prices for oils, sugar and cereals in particular had dropped.
Rice prices also fell, largely as a result of abundant supply in exporting countries and sluggish import demand. By contrast, dairy and meat prices rose.
"The biggest story is the oil sector, that's the driver behind the decline in prices," said Abdolreza Abbassian, FAO economist and grains analyst.
"The drop was driven by sell-offs in the market, but didn't last," he said.
"We saw a decline only in the first two weeks of March. In the second half of the month prices rebounded. Most of the price increase is not captured in this index but is likely to be reflected in the next one," he said.
March was also extremely volatile for grains, largely due to growing economic uncertainties and the turmoil in North Africa and parts of the Near East as well as the Japanese earthquake and tsunami, the FAO said.
"We need to see the information on new plantings over the next few weeks to get an idea of future production levels," Hallam said.
"But low stock levels, the implications for oil prices of events in the Middle East and North Africa and... Japan all make for continuing uncertainty and price volatility over the coming months," he said.
The oil and fats price index fell 19 points in March, breaking nine months of consecutive increases, while the sugar price index averaged 372 points -- down as much as 10 percent from the highs of January and February.
The dairy price index averaged 234 points, up 1.9 percent from the previous month and 37 percent above its level in March 2010, while the meat price index changed little from its February levels at an average of 169 points.
"As we have said before, this crisis will be volatile. The prices are still at very high levels. It all depends on the 2011 harvest. The market is not going to ignore uncertainty for at least the next six months," Abbassian said.
World food prices hit record highs at the beginning of the year and the agency had warned in March that oil price spikes could push them even higher as increasing violence in Libya sent jitters through commodity markets.
"With many poor communities already feeling the effects of higher food prices and grain stocks in the main food exporting countries at dangerously low levels, sighs of relief in response to today?s announcement by the FAO would be premature," Oxfam's policy advisor Luca Chinotti said in a statement.
"Food remains far too expensive for many poor people," he said.
Copyright © 2011 AFP. All rights reserved.

Una ufinyu wa kutambua mambo.
Kwangu binafsi suala la bei ya sukari kuwa juu si tokana na ulinganifu wa bei ya vitu vingine duniani. Sukari yetu ina bei kubwa kushinda nchi zinazotuzunguka, hii ina maana sukari toka nje ina bei ya chini kuliko tunayozalisha hapa nchi hata kabla ya kuweka gharama ya usafiri. Hapa tatizo ni mfumo wa kodi.
Pia sijawahi kuona bei za soko la Tanzania zikiendana na zile za soko la dunia. Hata pale ambapo mafuta yalianguka bei katika soko la dunia bei za mafuta yetu zilibaki kuwa juu.
Kwa hiyo kufikiri kwamba bei ya sukari ilitokana na kushuka kwa bidhaa hiyo katika soko la dunia ni usomi wa kukariri usioweza kutoa tafasiri na kuelewa mambo halisi. Na kama bei hizo hazikushushwa kwa shinikizo la CDM, basi ni sawa pia kusema tamko la raisi Kikwete kwamba bidhaa hiyo ishuswe bei halikutekelezwa.
 
Dr Slaa ni kweli unakurupuka.wewe hukuzungumzia bei ya sukari maisha siyo sukari tt
tu.unajiliwaza bure hakim unachofanikiwa, ukumbuke uongo ni mfupi na hauchelewi kubainika. Juzi juzi ukiwa Maswa ulitangaza kifo cha mkuu wa mkoa wa Shinyanga ulitafit na ni kweli amekufa Kama siyo kukurupuka ni nini? Mbona hadith Leo hujaomba radhi? Unweza kuwadanya watu wachache kwa muda tu, lakini huwezi kuwadanganya watu wore wakati wote. ACHA kUKURUPUKA !

ukweli umeelezwa,ila kwa kuwa unawendeleza ubishi usio na mashiko; tukupe pole. Dr. Slaa ni kiongozi makini na ndio maana amekuwa tayari kuweka mambo sawa hapa jamvini. Unapaswa kuelewa vema, facts!
 
Heko dr.wa ukweli.............hawa wafa maji wasitupotezee muda na wala hatuko tayari kurudi nyuma...........maslahi ya taifa kwanza.........vyama baadaye

mlengo wa kati,

sina hakika na unachokiita ukurupukaji:

I) swala la kontaina la karatasi za uchaguzi ni vema ulifanyie uchunguzi kabla ya kusema nimekurupuka. Nilitoa namba ya gari na namba ya container iliyoleta karatasi toka afrika kusini hadi tunduma upande wa zambia. Ikafaulishwa kwenye lori la azam kwa upande wa tz. Taarifa ilitoka kwa maofisa wa serikali, na kuthibitisha ukweli wa taarifa hizo japo mimi sikuwa nimewataja mara moja asubuhi ile waliitwa dar, na hatimaye kuhamishwa kituo cha kazi kwa taarifa niliyonayo. Kiravu na rpc advocate nyombi wakaishia kusema dr slaa ni mwongo badala ya kufanya uchunguzi huru. Polisi walihusika na tuhuma hizo, immigration na tra wote walihusika kwanini wao waioshie kutukana badala ya ucunguzi huru?

Pili bungeni waziri mara alitangaza kuwa serikali imenunua, machine na kuwa tayari ziliingia nchini, iweje ghafla serikali hiyo hiyo kupitria tume kuwa sasa karatasi zimechapishwa na kampuni ya kalamazoo, uiingereza, nani alishirikishwa na ziko wapi machine zilizoingizwa kwa kazi hizo. Tatu, ,ikononi mwetu (chadema tuna karatasi za uchaguzi ambazo hazina maandishi kabisa maerlfu kwa maelfu kutoka vituo vya kupigia kura. Tumeuliza je ni kampuni ya kalamazoo ilituuzia karatasi hizo hafifu(kalamazoo ni kampuni inayojulikana duniani kwa security printing) au kumetokea nini. Kama walituuzia karatadsi hafifu ni kwanini hawakushitakiwa? Dr slaa nimepigia kelele hayo wenye madsikio wamesikia na kuelewa na ndio msingi moja wa kura kuchakachuliwa. Nani kakurupuka dr. Slaa au anayesema dr slaa kakurupuka bila yeye kufanya utafiti au labda karukia tu hoja bila kujua msingi.

2) hoja ya siku 9 kwa kikwete kupunguza bei ya sukari. Ni mtanzania gani hajui kuwa kutokana na shinikizo hilo kikwete katekeleza agizo la kushasha bei ya sukari kutoka alichoita mwenyewe 2,200 hadi 1,700 na baada ya siku 3 kuishusha chini zaidi kuwa 1,500(japo kikwete bila kupanga kashusha kwa kuagiza wauzaji wadogio kushusha beio zao kwa mlaji bila kujua kwanini imepanda,mwuzaji huyo naye alinunua kwa kiasi gani, nasa ni katika hatua gani inapanda(kukurupuka huko ndiko kunafanya agizo hilo lisitekelezeke) lakini kwa maana ya agizo la chadema kikwete amelitekeleza ndani ya siku 9. Mtanzania gani hajui katika ziara zake kwenye wizara aliagiza bei ya mafuta ya kupikia, sembe, maharage zishushwe? Kama agizo la chadema limetekelezwa ila kwa kiwango gani na namna gani ni swala lingine. Ndiyo maana tumeendelea kumwita msanii, tumeendelea kumtaka kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.

3) kuhusu siku 21 za umeya arusha, kwanza ndugu yangu naona hata facts hujui. Agizo hilo ni la kamati kuu ya chadema. Dr slaa alikuwa tu mdomo wa kulifikisha kwa watanzania kupitia press conference lakini siyo dr slaa alikurupuka tu. Naomba niweke hiyo record sawa. Kuhusu utekelezaji, kamati kuu popote haikutamka kuwa siku ya 22 tutafanya....naomba soma vizuri na uelewe kabla ya "kukurupuka kuhukumu". Hata hivyo nataka niwahakikishie kuna mengi yamekuwa yaiendelea kutoka wakati huo ninaombanndugu yangu uvute subiri, mambo makubwa na magumu hayaendi kwa ushabiki.

Nadhani nimesaidia jamvi kwa kutoa taarifa sahihi.
 
Slaa ni "simple mind"

Of course ni kwasababu ya "educational background" ....

Wenye akili walisha mpuuza kwenye discussion zao..anatumika kulipua..mwishowe atalipuka mwenyewe..
 
Asante Dr Slaa kwa ujasiri, hekima na uongozi wako kwa Watanzania wenye nia njema na nchi yao....utarushiwa mishale for sure maana unawapa challenge mafisadi na wapiga debe wao lakini sisi tuko nyuma yako na tuko wengi
 
Asante Dr Slaa kwa ujasiri, hekima na uongozi wako kwa Watanzania wenye nia njema na nchi yao....utarushiwa mishale for sure maana unawapa challenge mafisadi na wapiga debe wao lakini sisi tuko nyuma yako na tuko wengi

Hamko wengi, mko wachache sana hard core...

pamoja na kampeni kila mahali mpaka kwenye masinagogi mmeishia 26%

na 2015 mtapungua sana baada ya kufanya assesment
 
Nilishasema wageni humu watakuwa ni wengi
ma wengi wao watakuwa wametumwa sasa sijui kwa manufaa ya nani maana Kama ni hali ngumu inatukuta wote haijalishi unatetea chama cha magamba au vingine.Asante Dkt kwa kutusaidia kuwaelimisha hawa walotumwa.

tatizo huwa hampendi kuona mtu anaseme tofauti na mnavopenda nyiinyi na kwa tabia hiyo mtaongozwa na matahira iko siku
 
Mlengo wa Kati,

Sina hakika na unachokiita ukurupukaji:

i) Swala la Kontaina la karatasi za uchaguzi ni vema ulifanyie uchunguzi kabla ya kusema nimekurupuka. Nilitoa Namba ya Gari na Namba ya Container iliyoleta Karatasi toka Afrika Kusini hadi Tunduma upande wa Zambia. Ikafaulishwa kwenye Lori la azam kwa upande wa TZ. Taarifa ilitoka kwa maofisa wa Serikali, na kuthibitisha ukweli wa Taarifa hizo japo mimi sikuwa nimewataja mara moja asubuhi ile waliitwa Dar, na hatimaye kuhamishwa kituo cha kazi kwa taarifa niliyonayo. Kiravu na RPC Advocate Nyombi wakaishia kusema Dr Slaa ni mwongo badala ya kufanya uchunguzi huru. Polisi walihusika na tuhuma hizo, immigration na TRA wote walihusika kwanini wao waioshie kutukana badala ya ucunguzi huru?

Pili Bungeni Waziri Mara alitangaza kuwa Serikali imenunua, machine na kuwa tayari ziliingia nchini, iweje ghafla serikali hiyo hiyo kupitria Tume kuwa sasa Karatasi zimechapishwa na Kampuni ya Kalamazoo, UIingereza, nani alishirikishwa na ziko wapi machine zilizoingizwa kwa kazi hizo. Tatu, ,ikononi mwetu (Chadema tuna karatasi za uchaguzi ambazo hazina maandishi kabisa maerlfu kwa maelfu kutoka vituo vya kupigia kura. Tumeuliza je ni Kampuni ya Kalamazoo ilituuzia Karatasi hizo hafifu(Kalamazoo ni Kampuni inayojulikana duniani kwa security printing) au kumetokea nini. Kama walituuzia Karatadsi hafifu ni kwanini hawakushitakiwa? Dr Slaa nimepigia kelele hayo wenye madsikio wamesikia na kuelewa na ndio msingi moja wa kura kuchakachuliwa. Nani kakurupuka Dr. Slaa au anayesema Dr Slaa Kakurupuka bila yeye kufanya utafiti au labda karukia tu hoja bila kujua msingi.

2) Hoja ya siku 9 kwa Kikwete kupunguza bei ya sukari. Ni mtanzania gani hajui kuwa kutokana na shinikizo hilo Kikwete katekeleza agizo la kushasha bei ya Sukari kutoka alichoita mwenyewe 2,200 hadi 1,700 na baada ya siku 3 kuishusha chini zaidi kuwa 1,500(japo Kikwete bila kupanga kashusha kwa kuagiza wauzaji wadogio kushusha beio zao kwa mlaji bila kujua kwanini imepanda,mwuzaji huyo naye alinunua kwa kiasi gani, nasa ni katika hatua gani inapanda(kukurupuka huko ndiko kunafanya agizo hilo lisitekelezeke) Lakini kwa maana ya agizo la Chadema Kikwete amelitekeleza ndani ya siku 9. Mtanzania gani hajui katika ziara zake kwenye wizara aliagiza bei ya Mafuta ya kupikia, sembe, maharage zishushwe? Kama agizo la Chadema limetekelezwa ila kwa kiwango gani na namna gani ni swala lingine. Ndiyo maana tumeendelea kumwita msanii, tumeendelea kumtaka kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.

3) Kuhusu siku 21 za Umeya Arusha, kwanza ndugu yangu naona hata facts hujui. Agizo hilo ni la Kamati Kuu ya Chadema. Dr Slaa alikuwa tu mdomo wa kulifikisha kwa Watanzania kupitia Press Conference lakini siyo Dr Slaa alikurupuka tu. Naomba niweke hiyo record sawa. Kuhusu utekelezaji, Kamati Kuu popote haikutamka kuwa siku ya 22 tutafanya....Naomba soma vizuri na uelewe kabla ya "kukurupuka kuhukumu". Hata hivyo nataka niwahakikishie kuna mengi yamekuwa yaiendelea kutoka wakati huo ninaombanndugu yangu uvute subiri, mambo makubwa na magumu hayaendi kwa ushabiki.

Nadhani nimesaidia Jamvi kwa kutoa taarifa sahihi.

Mbona ndio umepotosha sasa kwa kutoa upupu zaidi
 
2) Hoja ya siku 9 kwa Kikwete kupunguza bei ya sukari. Ni mtanzania gani hajui kuwa kutokana na shinikizo hilo Kikwete katekeleza agizo la kushasha bei ya Sukari kutoka alichoita mwenyewe 2,200 hadi 1,700 na baada ya siku 3 kuishusha chini zaidi kuwa 1,500(japo Kikwete bila kupanga kashusha kwa kuagiza wauzaji wadogio kushusha beio zao kwa mlaji bila kujua kwanini imepanda,mwuzaji huyo naye alinunua kwa kiasi gani, nasa ni katika hatua gani inapanda(kukurupuka huko ndiko kunafanya agizo hilo lisitekelezeke) Lakini kwa maana ya agizo la Chadema Kikwete amelitekeleza ndani ya siku 9. Mtanzania gani hajui katika ziara zake kwenye wizara aliagiza bei ya Mafuta ya kupikia, sembe,maharage zishushwe? Kama agizo la Chadema limetekelezwa ila kwa kiwango gani na namna gani ni swala lingine. Ndiyo maana tumeendelea kumwita msanii, tumeendelea kumtaka kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.

With all due respect Dr,bei ya sukari duniani ilikuwa ikiongezeka kwa kasi tangu mwezi wa nane 2010,kutokana na mambo mbali mbali kama vile natural disasters zilizoikumba BRAZIL,kupanda kwa bei ya mafuta(leading to ethanol as a cheaper alternative)n.k.
Kwa mwezi march na April bei ya sukari imeshuka kwa takriban 329 points(almost 10% if yuo know what that means).Najua uli demand JK apunguze bei,ila ukiangalia kwa undani bei ya sukari kupungua is just a reflection of the world sugar index.
You are a politician,a great politician,so I expect you to politicize this trend and coincidentially it worked because you are rumbling with a government that is weak ind misinformed.
Thanks but no thanks,your demands didn't really affect the decline!





World food prices fall for first time in eight months
(AFP) – Apr 7, 2011
ROME — World food prices fell for the first time in eight months in March after record highs largely due to oil prices, though the situation remains volatile, the UN's food agency said on Thursday.
The Food and Agriculture Organisation's Food Price Index dropped to an average 230 points in March, down 2.9 percent from its peak in February, but still 37 percent above March 2010, the Rome-based agency said.
"The decrease in the overall index this month brings some welcome respite," said David Hallam, director of the FAO's trade and market division.
"But it would be premature to conclude that this is a reversal of the upward trend," he added.
The FAO index, which monitors average monthly prices for key staples, showed international prices for oils, sugar and cereals in particular had dropped.
Rice prices also fell, largely as a result of abundant supply in exporting countries and sluggish import demand. By contrast, dairy and meat prices rose.
"The biggest story is the oil sector, that's the driver behind the decline in prices," said Abdolreza Abbassian, FAO economist and grains analyst.
"The drop was driven by sell-offs in the market, but didn't last," he said.
"We saw a decline only in the first two weeks of March. In the second half of the month prices rebounded. Most of the price increase is not captured in this index but is likely to be reflected in the next one," he said.
March was also extremely volatile for grains, largely due to growing economic uncertainties and the turmoil in North Africa and parts of the Near East as well as the Japanese earthquake and tsunami, the FAO said.
"We need to see the information on new plantings over the next few weeks to get an idea of future production levels," Hallam said.
"But low stock levels, the implications for oil prices of events in the Middle East and North Africa and... Japan all make for continuing uncertainty and price volatility over the coming months," he said.
The oil and fats price index fell 19 points in March, breaking nine months of consecutive increases, while the sugar price index averaged 372 points -- down as much as 10 percent from the highs of January and February.
The dairy price index averaged 234 points, up 1.9 percent from the previous month and 37 percent above its level in March 2010, while the meat price index changed little from its February levels at an average of 169 points.
"As we have said before, this crisis will be volatile. The prices are still at very high levels. It all depends on the 2011 harvest. The market is not going to ignore uncertainty for at least the next six months," Abbassian said.
World food prices hit record highs at the beginning of the year and the agency had warned in March that oil price spikes could push them even higher as increasing violence in Libya sent jitters through commodity markets.
"With many poor communities already feeling the effects of higher food prices and grain stocks in the main food exporting countries at dangerously low levels, sighs of relief in response to today?s announcement by the FAO would be premature," Oxfam's policy advisor Luca Chinotti said in a statement.
"Food remains far too expensive for many poor people," he said.
Copyright © 2011 AFP. All rights reserved.

'Reasoning' yako sikubaliani nayo! Kama hiyo 'reasoning' ingekuwa sahihi, basi hata kwa mambo mengine ya madini nk Tanzania tungefaidi vilvile kwa vile bei ya dhahabu, according to '... index' ni juu ya kile tunachopata hapa Tanzania. Kinachotakiwa ni 'political will' na siyo 'world index' sijui nini! Kama Dr Slaa anakurupuka kwa nini hoja zake zinatiliwa maanani na hata wakubwa wanaziongelea si wangepuuza tu? Mimi nadhani wewe ndiyo uliyekurupuka hasa!
 
Mbona ndio umepotosha sasa kwa kutoa upupu zaidi

Watanzania tumeambukizwa ugonjwa mbaya - unaoshambulia uwezo wa kufikiri! Hata mtu ajitahidi kusema vizuri kiasi gani bado watu watakosoa. Hata Mungu anakosolewa je binadamu? Lakini la kujiuliza ni hili: 'Are we true to ourselves or being used to think the way they want us think?'
 
Ooh. Masikini Kashaga. Kumbe unajua kutumika ni kubaya!? Mbona umekuwa hivyo sababu ya kutumiwa. Tena kunatumiwa na unatumika vibaya na sasa umeharibika hadi ukatuletea thread ya uongo kuhusu Karatu!? Kweli nyani haoni .....
 
Dr Slaa ni kweli unakurupuka.wewe hukuzungumzia bei ya sukari maisha siyo sukari tt
tu.unajiliwaza bure hakim unachofanikiwa, ukumbuke uongo ni mfupi na hauchelewi kubainika. Juzi juzi ukiwa Maswa ulitangaza kifo cha mkuu wa mkoa wa Shinyanga ulitafit na ni kweli amekufa Kama siyo kukurupuka ni nini? Mbona hadith Leo hujaomba radhi? Unweza kuwadanya watu wachache kwa muda tu, lakini huwezi kuwadanganya watu wore wakati wote. ACHA kUKURUPUKA !
Hata ukichukua upumbavu ukautwanga na maji kwenye kinu upumbavu hautatoka.Dr Slaa watanzania tuliopigika na ufisadi unaolelewa kama yai na ccm tunakuelewa kuwa unawapigania wtz,hawa watu wa aina hii usihangaike nao mana wamepofusha macho na fedha za mafisadi,wache tule nao sahani moja na ili waje wafaidi matunda,mafanikio unayoyaleta Dr na chadema hayabagui,hata hawa mamruki watayafaidi na familia zao.
 
Mnashangaa nini? Mmesahau mara hii kauli za mjumbe mmoja wa UVCCM (WANA-MAGAMBA) wa mkoa wa Arusha pale Dodoma aliyesema watu hao hawafikiri kwa kichwa bali hufikiri kwa tumbo? Pia mmesahau maneno ya baba wa taifa mpendwa wetu J. Nyerere kule Mbeya siku ya Mei Mosi '95? Alisema CCM (wana-magamba) kinanuka uvundo wa rushwa?
 
2) Hoja ya siku 9 kwa Kikwete kupunguza bei ya sukari. Ni mtanzania gani hajui kuwa kutokana na shinikizo hilo Kikwete katekeleza agizo la kushasha bei ya Sukari kutoka alichoita mwenyewe 2,200 hadi 1,700 na baada ya siku 3 kuishusha chini zaidi kuwa 1,500(japo Kikwete bila kupanga kashusha kwa kuagiza wauzaji wadogio kushusha beio zao kwa mlaji bila kujua kwanini imepanda,mwuzaji huyo naye alinunua kwa kiasi gani, nasa ni katika hatua gani inapanda(kukurupuka huko ndiko kunafanya agizo hilo lisitekelezeke) Lakini kwa maana ya agizo la Chadema Kikwete amelitekeleza ndani ya siku 9. Mtanzania gani hajui katika ziara zake kwenye wizara aliagiza bei ya Mafuta ya kupikia, sembe,maharage zishushwe? Kama agizo la Chadema limetekelezwa ila kwa kiwango gani na namna gani ni swala lingine. Ndiyo maana tumeendelea kumwita msanii, tumeendelea kumtaka kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.

With all due respect Dr,bei ya sukari duniani ilikuwa ikiongezeka kwa kasi tangu mwezi wa nane 2010,kutokana na mambo mbali mbali kama vile natural disasters zilizoikumba BRAZIL,kupanda kwa bei ya mafuta(leading to ethanol as a cheaper alternative)n.k.
Kwa mwezi march na April bei ya sukari imeshuka kwa takriban 329 points(almost 10% if yuo know what that means).Najua uli demand JK apunguze bei,ila ukiangalia kwa undani bei ya sukari kupungua is just a reflection of the world sugar index.
You are a politician,a great politician,so I expect you to politicize this trend and coincidentially it worked because you are rumbling with a government that is weak ind misinformed.
Thanks but no thanks,your demands didn't really affect the decline!





World food prices fall for first time in eight months
(AFP) – Apr 7, 2011
ROME — World food prices fell for the first time in eight months in March after record highs largely due to oil prices, though the situation remains volatile, the UN's food agency said on Thursday.
The Food and Agriculture Organisation's Food Price Index dropped to an average 230 points in March, down 2.9 percent from its peak in February, but still 37 percent above March 2010, the Rome-based agency said.
"The decrease in the overall index this month brings some welcome respite," said David Hallam, director of the FAO's trade and market division.
"But it would be premature to conclude that this is a reversal of the upward trend," he added.
The FAO index, which monitors average monthly prices for key staples, showed international prices for oils, sugar and cereals in particular had dropped.
Rice prices also fell, largely as a result of abundant supply in exporting countries and sluggish import demand. By contrast, dairy and meat prices rose.
"The biggest story is the oil sector, that's the driver behind the decline in prices," said Abdolreza Abbassian, FAO economist and grains analyst.
"The drop was driven by sell-offs in the market, but didn't last," he said.
"We saw a decline only in the first two weeks of March. In the second half of the month prices rebounded. Most of the price increase is not captured in this index but is likely to be reflected in the next one," he said.
March was also extremely volatile for grains, largely due to growing economic uncertainties and the turmoil in North Africa and parts of the Near East as well as the Japanese earthquake and tsunami, the FAO said.
"We need to see the information on new plantings over the next few weeks to get an idea of future production levels," Hallam said.
"But low stock levels, the implications for oil prices of events in the Middle East and North Africa and... Japan all make for continuing uncertainty and price volatility over the coming months," he said.
The oil and fats price index fell 19 points in March, breaking nine months of consecutive increases, while the sugar price index averaged 372 points -- down as much as 10 percent from the highs of January and February.
The dairy price index averaged 234 points, up 1.9 percent from the previous month and 37 percent above its level in March 2010, while the meat price index changed little from its February levels at an average of 169 points.
"As we have said before, this crisis will be volatile. The prices are still at very high levels. It all depends on the 2011 harvest. The market is not going to ignore uncertainty for at least the next six months," Abbassian said.
World food prices hit record highs at the beginning of the year and the agency had warned in March that oil price spikes could push them even higher as increasing violence in Libya sent jitters through commodity markets.
"With many poor communities already feeling the effects of higher food prices and grain stocks in the main food exporting countries at dangerously low levels, sighs of relief in response to today?s announcement by the FAO would be premature," Oxfam's policy advisor Luca Chinotti said in a statement.
"Food remains far too expensive for many poor people," he said.
Copyright © 2011 AFP. All rights reserved.
Watu kama wewe ni waajabu sana mnajita ukiziwi wa makusudi kikwete mwenyenyewe alisema kuwa sukari imepanda kwa sababu mwezi machi wazalishaji wa sukari wanasitisha uzalishaji kutokana na mvua inayonyesha kuanzia april na bla bla nyingine,sababu ambayo haina mashiko km ni hivyo kwa nini wasizalishe sukari nyingi ya akiba?halafu wewe unaleta hadithi ya kupanda kwa mafuta.Mbona unasaliti dhamira yako?Uongo wako hautakufikisha mbali.
 
Dr Slaa ni kweli unakurupuka.wewe hukuzungumzia bei ya sukari maisha siyo sukari tt
tu.unajiliwaza bure hakim unachofanikiwa, ukumbuke uongo ni mfupi na hauchelewi kubainika. Juzi juzi ukiwa Maswa ulitangaza kifo cha mkuu wa mkoa wa Shinyanga ulitafit na ni kweli amekufa Kama siyo kukurupuka ni nini? Mbona hadith Leo hujaomba radhi? Unweza kuwadanya watu wachache kwa muda tu, lakini huwezi kuwadanganya watu wore wakati wote. ACHA kUKURUPUKA !

mwanaJF ivi umesoma maelezo aliyoyatoa dr Slaa hapo juu? Sasa kwa yale aliyoyatolea ufafanuzi kwa nini umeshindwa kuyahoji bali unakimbilia maswa?ebu jibu hoja kwa hoja kisha uulize iyo ya maswa na utapata majibu! Ni Dr Slaa mgombea pekee wa urais Africa mashariki anayetenga muda wake kuwaelimisha wananchi moja kwa moja aidha kwa sms,facebook na Jf,huo ni uvumilivu wa pekee/social tolerance aliyonayo Dr wa ukweli na kujibiwa majibu ya ajabu kama yako. Ila mi nijuavyo hamna mkombozi wa ukweli aliyekubalika 100%. Mi nasema na ntazidi kusema Dr Slaa ni shujaa wa karne na uwezo wake haupimiki kwa kumlinganisha na kiongozi yeyote Tanzania. Full stop!
 
tatizo huwa hampendi kuona mtu anaseme tofauti na mnavopenda nyiinyi na kwa tabia hiyo mtaongozwa na matahira iko siku
Hapa kuna hoja....wadanganyika tuwe makini hapa na wasiasa wetu wote (upinzania & chama tawala)!!
 
Watu wengine kama hamna cha kuongea naomba muwe mnanyamaza...sasa thread kama hii ina manufaa kweli? Badala ya kuongelea mambo yaliyo na tija kwa nchi yetu unaongea pumba...Nonsense!
 
Dr Slaa ni kweli unakurupuka.wewe hukuzungumzia bei ya sukari maisha siyo sukari tt
tu.unajiliwaza bure hakim unachofanikiwa, ukumbuke uongo ni mfupi na hauchelewi kubainika. Juzi juzi ukiwa Maswa ulitangaza kifo cha mkuu wa mkoa wa Shinyanga ulitafit na ni kweli amekufa Kama siyo kukurupuka ni nini? Mbona hadith Leo hujaomba radhi? Unweza kuwadanya watu wachache kwa muda tu, lakini huwezi kuwadanganya watu wore wakati wote. ACHA kUKURUPUKA !

mwanaJF ivi umesoma maelezo aliyoyatoa dr Slaa hapo juu? Sasa kwa yale aliyoyatolea ufafanuzi kwa nini umeshindwa kuyahoji bali unakimbilia maswa?ebu jibu hoja kwa hoja kisha uulize iyo ya maswa na utapata majibu! Ni Dr Slaa mgombea pekee wa urais Africa mashariki anayetenga muda wake kuwaelimisha wananchi moja kwa moja aidha kwa sms,facebook na Jf,huo ni uvumilivu wa pekee/social tolerance aliyonayo Dr wa ukweli na kujibiwa majibu ya ajabu kama yako. Ila mi nijuavyo hamna mkombozi wa ukweli aliyekubalika 100%. Mi nasema na ntazidi kusema Dr Slaa ni shujaa wa karne na uwezo wake haupimiki kwa kumlinganisha na kiongozi yeyote Tanzania. Full stop!
 
'Reasoning' yako sikubaliani nayo! Kama hiyo 'reasoning' ingekuwa sahihi, basi hata kwa mambo mengine ya madini nk Tanzania tungefaidi vilvile kwa vile bei ya dhahabu, according to '... index' ni juu ya kile tunachopata hapa Tanzania. Kinachotakiwa ni 'political will' na siyo 'world index' sijui nini! Kama Dr Slaa anakurupuka kwa nini hoja zake zinatiliwa maanani na hata wakubwa wanaziongelea si wangepuuza tu? Mimi nadhani wewe ndiyo uliyekurupuka hasa!



The Citizen (Dar es Salaam)
Tanzania: Dar Gets High Gold Exports

Al-Amani Mutarubukwa


29 December 2010
The year 2010 was the year that saw Tanzania achieve high gold exports due to record gold prices at the world market.
According to the Bank of Tanzania (BoT), the exports value rose to $1.5 billion in September 2010 from $906.5 million recorded in the same month in the previous year, coupled with both export volumes and gold prices on the world market.


"Statistics indicate that the export volume of gold has increased to 36.8 tonnes compared to 31.0 tonnes recorded in the preceding year, partly on account of commencement of export by the Buzwagi Gold Mine," said BoT's October economic review.
According to the report, prices of gold increased to $1,157.9 per troy ounce in September 2010, compared with $896.2 per troy ounce recorded during September 2009.
However, experts call for a paradigm change that will give capacity to private sector and Tanzanians to be able to take ownership and management of the sector so as to be part of that growth.
"Even with that increment in export volumes, it is still not exciting as the country is yet to reap the desirable benefits, except for a few individuals," Dr Haji Semboja, a lecturer at the University of Dar es Salaam economics department told The Citizen last week in a telephone interview.


"We need serious commitment in empowering our companies such as the state mineral company-STAMICO, National Development Corporation (NDC) and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) so as they can take charge in moving the sector forward for the benefit of the nation," he added.
The country opened up the mining sector in 1998 after enacting the investor-friendly Mining Act 1997, which saw liberalization of the sector.
While this year's value of Tanzania's gold exports is a record, the volume of gold production still lags behind the record year of 2003.
At that stage, 48.0 tonnes of gold were mined in Tanzania, which had become Africa's third-largest gold-producing country after South Africa and Ghana. Meanwhile, Mali has surpassed Tanzania, which now is in fourth place. It is also known to have reserves of diamond, nickel, uranium and coal.
Lack of transparency
However, Tax revenue from gold has not been made public.


According to the recently released international survey on mining revenue transparency -the Revenue Watch Index 2010, Tanzania was the 37th among 41 countries that were surveyed.
In Africa, Tanzania was ranked 12th behind Liberia, South Africa, Nigeria, Botswana, Gabon, Cameroon, Zambia, Sierra Leone, Sudan, Angola and Ghana.
It was five places from the bottom of the global list ahead of Algeria, the Democratic Republic of Congo, Equatorial Guinea and Turkmenistan.
But stakeholders said such findings were the true image of the industry in the country, and called for immediate reforms to increase transparency.
Dr Honest Ngowi, lecturer at the Mzumbe University Business School, said that Tanzanians were in the dark as far as the extractive industry was concerned.


"As Tanzanians, we don't yet know who owns what and what is being extracted and how much revenue the country is supposed to get...it is high time now that we asked ourselves what we want, and not what they (investors) want," he said.
The Tanzania Chamber of Minerals and Energy chairman, Mr Ami Mpungwe, said that major mining companies have been playing their roles on transparency in accordance with the best international practices.
"There is no secrecy whatsoever...we are quite transparent. All of our members, such as Barrick Gold, AngloGold and TanzaniteOne, among others, are public listed companies and have nothing to hide," he told The Citizen.
New mining Act
Relevant Links

Early this year, the Parliament passed the new Mining Act 2010, which among other things, mining companies are required to list on the Dar es Salaam Stock Exchange so that the local population can benefit through buying shares.
And as part of the new legislation, Tanzania will not issue new gemstone mining licences to foreign companies, although current agreements with foreign mining companies remain unchanged.
Tanzania, the fourth largest gold producer in Africa, and whose gold mining regime has been the subject of popular resentment and criticism, has been grappling with the issue of transparency in the mining sector for a long time now.









s_trans.gif
 
Back
Top Bottom