Francis Jr
Senior Member
- Oct 18, 2010
- 146
- 21
Sasa asingesema ungejuaje kuwa kuna ufisadi huo?Usahalifu au uwezo mdogo wa kufikiri?Kwani EPA ilianzeje?Hayo magamba ya CCM nayo yalianzaje?
Ni vigumu kwa kichwa cha elimu ya watu wazima kuelewa anachoongea genious kama Dkt Slaa
Udini tu unawasumbua!Mbona ufisadi wa MOU ya mwaka 1992 ya makanisa na serikali mbona hausemi! au kwa kuwa wanapewa wakristo wenzake! Serikali haina dini iweje iwe inawapa wakristo tu na wengine hawapati!