kuulizwa kabila na kazi unayofanya ni mambo ya kawaida sana, usije kuwa na mtu unaemzidi salary times 3 then badae iwe.... oooh ananinyanyasa kisa anazidi kipato.. mara sijui nn... funguka kijana, ;If you will be serious they will be Serious too.'
Hayo yalikuwa ni mambo ya zamani za kale na isitoshe hakuna mwanamke anaependa kuishi bila mume tena kwa kumuua mwenyewe sasa ataona raha gani? Usisikilize ya watu. Kaka songa mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.