Jamani wanajamii forum kwanza habari za asubuhi bila shaka mu wazima na kama kuna ambaye anaumwa basi ni mapenzi ya mwenyezi mungu .
Jamani nina demu ambaye tulisoma naye shule moja ya msingi kuanzia drs la 1-7 baada ya hapo mimi niliendelea na elimu ya sekondari lakini kwa bahati mbaya yeye hakubahatika kuendelea na sekondari kwaiyo baada ya kumaliza tu std 7 akaenda dar kufanya kazi za ndani huku tukibaki kuwasiliana kama kawaida
baadaye mimi nikajiunga na chuo na nilipomaliza sasa nafanyakazi huklu mkoani morogoro lakini cha kushangaza huyo demu wangu anatabia ya kutoa maamuzi kwa jinsi anavyofikilia yeye mara nyingine akipiga simu kama niko kazini kama sijapokea mara ananiandikia ujumbe sitaki unipigie tena simu yako futa namba yangu na mimi nimeshafuta ,namara nyingi nimekuwa na utaratibu wa kumshauri anaacha kwa muda tabia hiyo lakini baadaye anarudia tena yale yale na ameshawai kunitumia ujumbe wa kusitisha mausiano zaidi ya mara tano
kila nikimshauri aachane na tabia hizo bado anaendeleza cha kushangaza wakati akitaka tusitishe mausiano na mimi nikiamua kumkaushia kweli angalau kwa mwezi mmoja utaona ananitumia msg ya kuniomba salio ili apate njia ya kurejesha mawasiliano baina yetu,
jamani wanajamii forum naombeni ushauri wenu kweli kuna mapenzi ya kweli hapo au kuna wengine wanamega lakini ananitumia mimi kama kivuli chake ? Anafaa kweli kuja kuwa mke wa ndoa ? Na ukitazama kwamba yeye yuko dar na mimi niko moro. Ushauri wenu tafadhari na poleni kwa kusoma maelezo marefu hivi
Jamani nina demu ambaye tulisoma naye shule moja ya msingi kuanzia drs la 1-7 baada ya hapo mimi niliendelea na elimu ya sekondari lakini kwa bahati mbaya yeye hakubahatika kuendelea na sekondari kwaiyo baada ya kumaliza tu std 7 akaenda dar kufanya kazi za ndani huku tukibaki kuwasiliana kama kawaida
baadaye mimi nikajiunga na chuo na nilipomaliza sasa nafanyakazi huklu mkoani morogoro lakini cha kushangaza huyo demu wangu anatabia ya kutoa maamuzi kwa jinsi anavyofikilia yeye mara nyingine akipiga simu kama niko kazini kama sijapokea mara ananiandikia ujumbe sitaki unipigie tena simu yako futa namba yangu na mimi nimeshafuta ,namara nyingi nimekuwa na utaratibu wa kumshauri anaacha kwa muda tabia hiyo lakini baadaye anarudia tena yale yale na ameshawai kunitumia ujumbe wa kusitisha mausiano zaidi ya mara tano
kila nikimshauri aachane na tabia hizo bado anaendeleza cha kushangaza wakati akitaka tusitishe mausiano na mimi nikiamua kumkaushia kweli angalau kwa mwezi mmoja utaona ananitumia msg ya kuniomba salio ili apate njia ya kurejesha mawasiliano baina yetu,
jamani wanajamii forum naombeni ushauri wenu kweli kuna mapenzi ya kweli hapo au kuna wengine wanamega lakini ananitumia mimi kama kivuli chake ? Anafaa kweli kuja kuwa mke wa ndoa ? Na ukitazama kwamba yeye yuko dar na mimi niko moro. Ushauri wenu tafadhari na poleni kwa kusoma maelezo marefu hivi