mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
kama mwanamke ana kipato chake simpi hela hata kama mimi nimemzidi bado simpi coz ana income yake na mi nina yangu sema tu...tukiwa tuko mahali sema tunakula au tunafanya shopping nitalipia...tukienda mahali akaona kitu anapenda nitamnunulia so in short atatumia hela yangu indirectly...lakini sio nitoe wallet yangu nimwambie dada hii hela hapa chukua kaitumie hiyo sifanyi kwa sababu unaweza ukampa hela hivyo kumbe ana kibitozi pembeni ndio mwizi wako we ukiondoka wanaenda kutumia hela yako pamoja hiyo biashara sifanyi....