Bigjahman
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 842
- 421
Nikaamua kuondoka na kumwambia aniletee talaka yng kwe2, na nikamwambia sitahtaji mali yyt namwachia kila kitu nikaondoka na mwanangu baada ya siku mbili akaja kwetu analia hk kanipigia magoti kw nimsamehe anaomba nirudi nyumbn eti ni ndg zk wamemshawishi anifukuze, kwakweli kwa uchungu nilionao nikakataa katakata, akamtuma baba yk ambaye ananipenda sn pmj na washenga waje kuongea yaishe, nimeshndwa kukubali kurudi kwakwe kwn roho inaniuma sn nikikumbuka matesho niyopata na jins alivyonifukuza, KWAKWELI NAMPENDA SN MUMEWNG LKN SIJUI KM NITAWEZA KUMSAMEHE naumia sn ni heri nife maskini klk kunyanyaswa,
Dah kama unajua kupenda plz njoo kwangu mm moyo wa kupenda mpweke sana aisee,cjapendwa tangia mwaka 98,apa nko namchuchu eti anasema take care of me,alaf i love u sana kama unajua kupenda