mimi bana nakerwa na
1.umbea-wanawake jamani umbea unakeraaaaaaa,mmesikia?
2.shopping-siendagi na mwanamke dukani mimi wala sokoni.Kitu cha kuchagua dakika tano mkaondoka mwanamke mwaka,kha!
3.maamuzi-be decisive bana,yaani hata vitu vidogo huamui mpaka nikwambie? hicho kichwa cha kazi gani?
4.kunisafisha-nikimaliza kula mzigo kwa nini usilete maji ya vuguvugu na kitambaa ukanisafisha,mpaka niende mwenyewe bafuni? ebo!
hii thread imeniamsha kahasira flan,ntarudi.