1)murudiane
2) kukudhuru
3) akurudishie vi2 vyako ulivyompa km zawadi
4)akushukuru kwa kuachana nae na pia akutambulishe kwa m2 wake mpya
5)anashida anaomba msaada
kuwa huru useme unapopokea cmu ya ex wako unawaza kipi hapo
uchukue zawadi ulizomnunulia kwani umemwambia una shida nazo.........mimi nilimpa yeye kama anaona hazitaki basi akachome moto au akazitupe mana hata mimi sina shida nazo.