Recent content by MKANKULE

  1. MKANKULE

    Security Notice: Fanyeni haya Kujilinda!

    Ujumbe wako umenisaidia.achana na huyo aliyekomaa na mambo ya ujasusi na mafia kwasababu wavamizi sio wote ni mafia/ majasusi
  2. MKANKULE

    Tizama mazoezi ya wanajeshi wa North korea

    Kila mwanadamu ataonja mauti
  3. MKANKULE

    Nini kinachoendelea Singida?

    Unaweza kumuheshimu lakini sio kukiabudu Kama wanavyofanya wakatoliki.
  4. MKANKULE

    Hebu chunguza hii picha kwa makini

    Lakin hata hivo najaribu kutizama sura za hii couple 2 naona kama sura ni zilezile kasoro rangi tu
  5. MKANKULE

    Selasini ahoji kujichanganya kwa Nape na Kassim Majaliwa matangazo ya bunge

    " Nasikia uchungu sana bunge liiirushwa live natamani hata kulia" by Mary marwa
  6. MKANKULE

    DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

    kwahiyo ziara ya kustukiza imeleta tija gani maana ameomba risiti akapewa kwasababu yeye n mkuu unadhani kesho mwananchi wa kawaida atapewa.
  7. MKANKULE

    TPDC yakanusha kufungua Akaunti za ESCROW katika Benki ya Stanbic

    Amekanusha au amekubali ? Halafu kwa nini stanbic tu hii benki ina nn jamani
  8. MKANKULE

    Katuni: Hawa ndio wanaomhujumu Rais Magufuli

    Unawezaje kuthibisha pasi na shaka kwamba hiyo picha ni ya rais .
  9. MKANKULE

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    Napenda majipu yatumbuliwe lakini Mimi naona huyu mama kaonewa.najaribu kufikiria ndio mimi umenikuta Nina ajira yangu inanilipa mil 35 halafu ukaniahidi utanilipa mil 18. Kukubali tu kushuka ni uzalendo wa hali ya juu na unyenyekevu. Lakini nilipotaka kuanza kazi ukasema unanilipa mil 5 ...
  10. MKANKULE

    Kila mwana CCM ni msemaji wa serikali?

    Ungejua ni lini upinzani umeanza na harakati za kupambana na mafidadi na wizi wa nchi hii usingesema hivo. Hivi jiulize tu hii nchi bila mltipartism tungewezaje kujua wezi wa nchi hii . uliwahi kuona wapi nyani anampelekea ngedere kesi
  11. MKANKULE

    Kila mwana CCM ni msemaji wa serikali?

    Na serikali inayokubali kukosolewa ina sifa ya kufanya vizuri katika kuwatumikia wananchi. MTU asiyekubali kukosolewa hawezi kujifunza kipya anadumaa hatimae anachokwa. N miaka mingi mno wapinzani wamekuwa wakiikosoa serikali lakini waliwabeza na kuwatusi .lakini sahv jpm anajitahidi kufanyia...
  12. MKANKULE

    Naunga Mkono Bunge Kutoonyeshwa Live

    Huwa sipendi sana tabia ya mtu kutafuta sababu ya kuhalalisha jambo kwasababu eti na mtu mwingine anafanya hivo .Nape akisema eti nchi nyingi za jumuia ya madola zina bunge studio , kwahiyo kama zina huo utaratibu kwanini haukuwepo zamani .na je hizo nchi zikianza kurusha live mtaanza na nyie...
Back
Top Bottom