leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,583
- 3,182
Hivi karibuni kumetokea tabia hapa nchini kila serikali inapokosolewa iwe na wapinzani au mtu mwingine yeyote yule watu wanasimama kutetea bila kujua kama jambo husika lina ukweli kiasi gani na kuwafanya wakosoaji kuwa hawajui kitu na hata kama suala lenyewe linahusu kutekeleza taratibu, kanuni ama sheria.
Ndugu zangu eleweni kuwa watu wanapokosoa hawalengi kuichukia ama kupinga mazuri yanayofanywa na serikali bali ifanye kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria hapo inapendeza sana, leo magufuli ametoa mwongozo kama wapinzani walivyotaka mkawazomea sawa mtaficha wapi nyuso zenu imbeni tena huo wimbo mpya nawashauri mkasome kitabu cha shamba la wanyama 'the animal farm' huko mtajifunza vizuri kuhusu upambe usiofaa, watanzania tuheshimiane mbona tutaenda vizuri tu sisi sote tu binadamu kukosea ni jambo la kawaida tu mbona .
Att:jingalao
Ndugu zangu eleweni kuwa watu wanapokosoa hawalengi kuichukia ama kupinga mazuri yanayofanywa na serikali bali ifanye kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria hapo inapendeza sana, leo magufuli ametoa mwongozo kama wapinzani walivyotaka mkawazomea sawa mtaficha wapi nyuso zenu imbeni tena huo wimbo mpya nawashauri mkasome kitabu cha shamba la wanyama 'the animal farm' huko mtajifunza vizuri kuhusu upambe usiofaa, watanzania tuheshimiane mbona tutaenda vizuri tu sisi sote tu binadamu kukosea ni jambo la kawaida tu mbona .
Att:jingalao