DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

Huyu alikuwa anatokea Club akaibukia Hospital. Kuna wenzie waliwahi kuibuka machinjioni usiku wa manane kama wachawi lakini sasa hivi hata asubuhi hawaendi kokote. Hii nchi Sanaa zimezidi, kama mko serious tengenezeni Standard Operating Procedures kwa hospital zote Tanzania na sio kuibuka ibuka Tu. Kwa hiyo DC wa Tandahimba naye kesho asilale aende hospital ya wilaya usiku. CCM inaongoza nchi kwa style ya wapiga ramli
ni mizuka mkuu ndo inatumika kuendesha nchi
 
Hongera mkuu wa wilaya kwa ukaguzi huo wa kushtukiza.

Binafsi naamini taratibu kama hizi zitafanikiwa zaidi endapo kukiwa na "stipulated standard operation procedures".

Kwa mfano kuwe na maandishi na makubaliano kabisa kuwa
1. Kunatakiwa kuwe na wauguzi wangapi kazini kwa kila wagonjwa wangapi
2. Kunatakiwa kuwe na madaktari wangapi kazini kwa muda fulani
3. Kunatakiwa taratibu zipi zifuatwe katika kupokea wagonjwa
4. Kuantakiwa taratibu gani zifuatwe katika kutoa dawa nk..

Then akija mkuu wa wilaya kama hivyo (ideally anatakiwa kuandamana na afisa wa afya wa wilaya) wanapita na karatasi yao wakitiki kipi kinatekelezwa na kwa kiwango gani. Then kwenye mkutano wa mwezi wa progress za huduma za afya (na assume kuwa mikutano ya kisekta inafanyika kila mwezi), ripoti za ukaguzi kwa kila hospitali, zahanati, vituo vya afya nk zinajadiliwa). Mapungufu yanatafutiwa ufumbuzi na pale inapoonekana mtu fulani kwa uzembe ndiye anayesababisha mapungufu fulani anaonywa, ikibidi anatumbuliwa...

The same should apply kwenye elimu, masoko, machinjio, stendi za mabasi, vituo vya polisi nk...
 
kwahiyo ziara ya kustukiza imeleta tija gani maana ameomba risiti akapewa kwasababu yeye n mkuu unadhani kesho mwananchi wa kawaida atapewa.
 
Huyu alikuwa anatokea Club akaibukia Hospital. Kuna wenzie waliwahi kuibuka machinjioni usiku wa manane kama wachawi lakini sasa hivi hata asubuhi hawaendi kokote. Hii nchi Sanaa zimezidi, kama mko serious tengenezeni Standard Operating Procedures kwa hospital zote Tanzania na sio kuibuka ibuka Tu. Kwa hiyo DC wa Tandahimba naye kesho asilale aende hospital ya wilaya usiku. CCM inaongoza nchi kwa style ya wapiga ramli
Hapa kazi tu, piga kazi kaka!! Watu wengine nyinyi tushawazoeya, na asingekwenda ungeibuka na hoja apa dc yuko wap malalamiko hispital ya mwananyamala hayackiii..
 
Tulikuwa naye Maisha Club kumbe baadaye alienda Mwananyamala dah! Na alikuwa bwax.
Kwa hiyo ulevi wake akaona sasa akawachezee madaktari na wauguzi wanaofanya kazi katika mazingira magumu kwa kuwavizia?
Mbona hawa wanasiasa vijana wanataka kuchezea taaluma za watu kijinga hivi? Hivi madaktari na wauguzi wakiamua nao kutuhudumia kinafiki kama wanasiasa hao wanavyofanya unafiki kwenye kazi zao tutapona kweli?
 
hahahaha na camera alienda nazo kama kawaida
Mkuu camera muhimu sana hata juzi tulikuwa tunatoka Dodoma tukashuka Dumila kwa wachoma mahindi mabichi tukapiga picha.

Hata tulivyokuwa tunatembelea soko la Tandale kuongea na wauza mchele na maharage tulikuwa na camera zetu.

Hata siku ule tulivyopanda daladala la gongolamboto tulikuwa na camera zetu unakumbuka kamanda.
 
hahahhahhahhaha...Mizuka chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu camera muhimu sana hata juzi tulikuwa tunatoka Dodoma tukashuka Dumila kwa wachoma mahindi mabichi tukapiga picha.

Hata tulivyokuwa tunatembelea soko la Tandale kuongea na wauza mchele na maharage tulikuwa na camera zetu.

Hata siku ule tulivyopanda daladala la gongolamboto tulikuwa na camera zetu unakumbuka kamanda.

vipi ustaadh? uko safi kabisa kichwani au ushakula ndumu?
 
Kwahiyo @issawena ulitaka Hata Simu angeacha Nyumbani kwakuwa angepiga Picha sio?

Na Unatarajia Umma utajuaje kama Hamjapiga Picha wala hamjazungumza na Media.?

Mh Ummy Mwalimu alipoapishwa tu alikimbilia Mwananyamala baada ya hapo kimyaaaa! kaeni na viongozi wenzenu mliowakuta ofisini mtatue matatizo siyo kutafuta sifa.
 
Mh Ummy Mwalimu alipoapishwa tu alikimbilia Mwananyamala baada ya hapo kimyaaaa! kaeni na viongozi wenzenu mliowakuta ofisini mtatue matatizo siyo kutafuta sifa.

hahahahahhaha...mkuu hata mwaka bado....huu uongozi wa nchi wa sasa watanzania watauchoka sana...nchi haiongozwi kwa kufanya watumishi wa serikali waonekane wabaya......
 
vipi ustaadh? uko safi kabisa kichwani au ushakula ndumu?
Safi tu kamanda sasa hivi tumekuja na ubunifu mpya badala ya kuzungusha mikono makamanda wanazungusha makalio.
 
Back
Top Bottom