mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 328
Hakika albadili imeanza kufanya kazi kwako.Hao Undertaker au Kane anashika wote kwa pamoja na kuwa chokeslam. Au anashika watano huku na watano huku kisha anawapiga double chokeslam.
Hao marekani hana shida ya kupeleka jeshi, anapeleka watu 3 tu, Undertaker, Kane na Big show. Wanawakusanya pamoja kama furushi la mahindi na kuwapiga triple chokeslam kwisha habari yao.
Sasa hao andunje watampiga nani, mtu analingana na mbooo urefu ampige nani?Hakika albadili imeanza kufanya kazi kwako.