Recent content by mkalifya

  1. M

    Wanaume tunachangia sana wanawake kuwa malaya

    Wanawake wanashindwa kujielewa na kuwatupia lawama Wanaume bila sababu za msingi. Mwanaume ni kama mwindaji, ni jukumu la wanaowindwa kuwa na njia mbadala za kujilinda la sivyo wataishia kugegedwa na ndoa isiwepo.
  2. M

    Mwanamke yeyote akikupa mara moja, hata akiolewa ukimwomba tena atakupa tu

    Na hili huchangiwa zaidi kama mume si mtalaam kunako sita kwa sita. Ushauri mume jitume ili kumsaahulisha michepuko yake ya zamani.
  3. M

    Naomba kuwasaidia BAVICHA, ni kwa dhati ya moyo wangu

    Hapa umemaliza kiongozi, kama ana ufahamu ataelewa lakini kama anatumia akili za Lumumba ndo basi tena. Tumuache tu
  4. M

    Dah! Nimepewa cha mbavu

    Naomba email adress yako bibie
  5. M

    Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

    :banghead::beer::o:confused:
  6. M

    Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

    Ahaaaaaa mweee ni kweli lakini
  7. M

    Ufafanuzi tafadhali: Degree with Honors ina maana gani?

    Kumbe nami nilihisi najua kumbe hamna kitu maana nilijua ni hilo la kwanza, nway ngoja nisubiri maelezo kamili afu nicheki ukweli na degree yangu
  8. M

    Kwa wapenzi wa James Hadley Chase

    kw kweli mnanipa raha mnoooo!!!!
  9. M

    Wajumbe 400 wa bunge maalum la katiba waunga hotuba ya JK, je ni kweli?

    Hao ni wale wale wachumia tumbo! Ila subiri waje wenyewe wakujibu
  10. M

    TBC mbona mnahoji upande mmoja ?

    TBC hakuna kitu kabisa
  11. M

    Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

    nilisikia walichukua mpunga kwa wazee wa lamba lamba
  12. M

    William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

    Sishangai kabisa kwa JK kuitwa diplomatic genious kwani hata David Moyes anaitwa football genious! Nadhani kubwa jinga halijui hilo
  13. M

    William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

    Nahisi wanaomsifia wanaongozwa na njaa na ubinafsi! Time will tell!
  14. M

    William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

    hao wanaomsifia hawataki kuyaongea haya ni maajabu ya dunia na ni kosa kubwa mno kwa Raisi kuvunja KATIBA! lakini tanzania lolote linawezekana. Hostoria itawahukumu pamoja na hawa wakubwa jinga!
  15. M

    Issa Michuzi, Assah Mwambene, Clement Mshana, Salva Rweyemamu, Premi Kibanga & Waziri Fenella Mukangara

    critical mind you have spoken my mind! na bado tunajiuliza kwann nchi yetu ni maskini. Hawa ndo aina ya watu wanaotuamulia! Ni bora huwe mbumbumbu usijue chochote maana unaweza kuua watu bure
Back
Top Bottom