Wanawake wanashindwa kujielewa na kuwatupia lawama Wanaume bila sababu za msingi. Mwanaume ni kama mwindaji, ni jukumu la wanaowindwa kuwa na njia mbadala za kujilinda la sivyo wataishia kugegedwa na ndoa isiwepo.
hao wanaomsifia hawataki kuyaongea haya ni maajabu ya dunia na ni kosa kubwa mno kwa Raisi kuvunja KATIBA! lakini tanzania lolote linawezekana. Hostoria itawahukumu pamoja na hawa wakubwa jinga!
critical mind you have spoken my mind! na bado tunajiuliza kwann nchi yetu ni maskini. Hawa ndo aina ya watu wanaotuamulia! Ni bora huwe mbumbumbu usijue chochote maana unaweza kuua watu bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.