William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

mfumo wa maisha ulivyo, huwezi kumridhisha kila binadam kwa sababu kila mmoja anamatakwa yake. Na huwezi kupendwa na kukubalika na kila mtu. Kwa hyo kwa anaemsifia jk yupo sawa na anaemponda yupo sawa kwa sababu ndio maisha yalivyo

Nahisi wanaomsifia wanaongozwa na njaa na ubinafsi! Time will tell!
 
Sishangai kabisa kwa JK kuitwa diplomatic genious kwani hata David Moyes anaitwa football genious! Nadhani kubwa jinga halijui hilo
 
He has a lot in common with Hussein Obama,POTUS.While Hussein Obama is good at giving eloquent speech but he is short on substance.Kikwete too is good at mingling socially but he is short on substance.
 
The one thing I can say is you are a puppet with no brain to think

Astonishing, You, with a so called "brain", can I call you Brainy? haven't you anything to contribute on the subject matter rather than juggling with a so called "puppet"?

What a forlorn brain do you possess, can you imagine, even a little, Brainy?
 
Astonishing, You, with a so called "brain", can I call you Brainy? haven't you anything to contribute on the subject matter rather than juggling with a so called "puppet"?

What a forlorn brain do you possess, can you imagine, even a little, Brainy?

A narrow minded Islamist thug,How are you?Say hello to another muslim lunatic goes by the name Kahtaan!
 
-Ha! ha! ha! ha! I am not convinced William Malechela has the brain to write this kind of Engilsh. Hii kitu imeandikwa na Mzee Mwanakijiji ambaye ni kinyonga asiyeeleweka
mkuu umenichekesha sana, hivi mwanakijiji ameshawaacha tena kuwatetea nyie wahafidhina kutoka tengeru?
 
1) Electricty has reached 34% of Tanzanians during Kikwetes 8 Years, it was only 10% in 2005.

Do your calculations and add all, the president and his stooges before Kikwete and what you will get? Kikwete has done more than them all added together.

44 Years just 10%? compare that with just 8 Years, 24% more. Start juggling with words.

Hizi takwimu za access to power (electricity) ni za wapi? Nadhani hazina ukweli hata kidogo. Access to power up to end 2013 was 14.5%. Ni vibaya kusema uongo kwa takwimu zisizo za kweli.
 
-Ha! ha! ha! ha! I am not convinced William Malechela has the brain to write this kind of Engilsh. Hii kitu imeandikwa na Mzee Mwanakijiji ambaye ni kinyonga asiyeeleweka

- Kaka muombe radhi Mzee Mwanakijiji kwani umemkosea sana heshima, hahusiki na this na wala sijui umeyatoa wapi haya madai yako ya kitoto na kijinga sana pole sana sisi tunaondoka tunakwenda mbelezzzzz!!

Le Mutuz
 
mkuu umenichekesha sana, hivi mwanakijiji ameshawaacha tena kuwatetea nyie wahafidhina kutoka tengeru?

- Abunuwas Mwanakijiji hahusikia kabisa na this muombe radhi kwanza ndio ustaarabu unavyodai, mimi naandika articles kwenye magazeti mbali mbali na kwa lugha mbali mbali niliposoma Degree zangu mbili USA hatukutumia lugha ya Kiswahili sasa na mimi naandikia magazeti ya Kiswahili na English pia, hapa wananchi wengi hawajui English ndio maana article kama hizi huwa sileti huku na hata hii ni mtu ameiiba mahali ameileta hapa nia na madhumuni yangu haikuwa kuitumia hapa maana hapa ni wachache sana wenyewe kuelewa lugha za watu,

- So muombe radhi Mwanakijiji maana maneno yako ni uzushi wa ajabu saana!1

Le Big Show
 
William, let it be ur judgement; others would judge him as the Africa's lowest witted president!
 
1) Electricty has reached 34% of Tanzanians during Kikwetes 8 Years, it was only 10% in 2005.

Do your calculations and add all, the president and his stooges before Kikwete and what you will get? Kikwete has done more than them all added together.

44 Years just 10%? compare that with just 8 Years, 24% more. Start juggling with words.

Kati ya nchi zote Sub-saharan Africa (SSA), Ghana ndio nchiiliyopiga hatua kwenye ongezeko la watu wenye umeme (access to electricity) kwa kuwa na access ya 80% hadi mwisho wa mwaka 2013. Kenya, jirani zetu ndio wanaoongozakwa kuwa na 30%. Tanzania hata 20% hatujafikia, tuko 14.5%. Hii 34% sijuiumetoa wapi dada yangu. Check data zako vizuri. Access kubwa hapa TZ iko Dar,Arusha, Kilimanjaro, Mara. Mikoa mingi iliyobaki, access ni below 7% nahadi sasa mingine haijaunganishwa na grid ya taifa.
 
Kikwete has done more in 8 Years for Tanzania than all those Presidents and stooges prior to him put together for 44 years.

Ni kweli but they also did their part ambayo imemfanya yeye pia aweze kufanya kile alichofanya. Ninaona kama statement yako inakuwa ni too radical for the rest of our beloved previous presidents to the extent kwamba nina doubt kama hata yeye JK anaweza akaifurahia kama ikitokea akapata nafasi ya kuisoma. Japo umempa sifa anayostahili, lakini sidhani kama anaweza akafurahia presentation yako. I suggest your comments to the elders should always be humble, regardless of your view of their contribution to our beloved nation
 
Kati ya nchi zote Sub-saharan Africa (SSA), Ghana ndio nchiiliyopiga hatua kwenye ongezeko la watu wenye umeme (access to electricity) kwa kuwa na access ya 80% hadi mwisho wa mwaka 2013. Kenya, jirani zetu ndio wanaoongozakwa kuwa na 30%. Tanzania hata 20% hatujafikia, tuko 14.5%. Hii 34% sijuiumetoa wapi dada yangu. Check data zako vizuri. Access kubwa hapa TZ iko Dar,Arusha, Kilimanjaro, Mara. Mikoa mingi iliyobaki, access ni below 7% nahadi sasa mingine haijaunganishwa na grid ya taifa.

Unaonesha uko nyuma sana katika maendeleo ya Tanzania. Pitia kidogo tovuti za REA, tovuti ya Wizara ya Nishati na Madini, tovuti za TANESCO. Unaongelea 14%? Pole sana. Ifikapo 2015 tunaongelea 36% ya Watanzania kuwa na umeme. Pia kwa miradi iliyopo sasa tunaongelea umeme utakaowatosha 70% ya Watanzania kama si 100% wataokuja baada ya Kikwete wafanye kazi ya kuusambaza tu. Tena kishaianza kwa kasi ya ajabu. Tembelea REA.
 
- Kaka muombe radhi Mzee Mwanakijiji kwani umemkosea sana heshima, hahusiki na this na wala sijui umeyatoa wapi haya madai yako ya kitoto na kijinga sana pole sana sisi tunaondoka tunakwenda mbelezzzzz!!

Le Mutuz

Wazungu wanapiga vita Unene hata sisi Weusi tuupige Vita Unene Kwani Ukinenepa sana Mafuta yanaingia kwenye Ubongo uwezo wa kufikiria unashuka sana ! Ebu tuupige vita Unene
 
Kama anajua kiswahili iweje aandike kwa Kingereza ?
 
- Abunuwas Mwanakijiji hahusikia kabisa na this muombe radhi kwanza ndio ustaarabu unavyodai, mimi naandika articles kwenye magazeti mbali mbali na kwa lugha mbali mbali niliposoma Degree zangu mbili USA hatukutumia lugha ya Kiswahili sasa na mimi naandikia magazeti ya Kiswahili na English pia, hapa wananchi wengi hawajui English ndio maana article kama hizi huwa sileti huku na hata hii ni mtu ameiiba mahali ameileta hapa nia na madhumuni yangu haikuwa kuitumia hapa maana hapa ni wachache sana wenyewe kuelewa lugha za watu,

- So muombe radhi Mwanakijiji maana maneno yako ni uzushi wa ajabu saana!1

Le Big Show

Hili ni Tusi kwa wana JF eti hawajui Lugha za watu ! Hv kusoma marekani kunaisaidia nini jamii masikini ? Kingereza si Taaluma ni Lugha ya kawaida tu .Tambua kuwa wapo wasomi wengi Wachina,wajapan,Wajeruman, Spain ,Italy,Rusia,Sweden France nk hawajui English lakini ni wasomi wenye Taaluma Vichwani kuliko wale waliosoma kwa kutumia Lugha ya kingereza acha hizo
 
Kuna kusoma na kufaulu mitihani ama kwa kukariri tu au kuiba mitihani hata Rushwa ya Ngono Pia hutoa Vyeti. Wapo Wasomi wengi Feki tu ! Wanamiliki vyeti lakini Taaluma Harisia hawana . Hivyo issue ya Usomi hapa Tz si kipimo cha Uadilifu kabsa !
 
Back
Top Bottom