ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
tnxx mkuu umenipa nguvu mpya
Thats the spirit!
tnxx mkuu umenipa nguvu mpya
we una fall category gani
Umeona eh? Yaani karingiwa kidogo tu anachachawa...
Ikulu ya Serikali ya Tanganyika itajengwa Tanga!Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima nitumie mbinugani wadau
Umeona eh? Yaani karingiwa kidogo tu anachachawa...
Naomba namba yako ya tigo pesa Naona huo ujumbe umenihusu
ungeomba email address.. ujue namba yaweza kuwa ngumu ila email unapewa tu fasta.
Walah ntajileta lol...
You dont know what you are missing
Mkuu moja kwa moja kwenye namba ya simu maandalizi hakuna?
!
Mi Domo Mtelezo ! Yaani :msela:
!
Kuomba namba ya simu system za kizamani ! Ni sawa na kuandika Barua !
Kwenye simu mnakuwaga Huru sana nyinyi !
Kitu live live kama tunafanya interview hivi ! :msela:
Maisha mtelezo !
:msela:
cI can imagine the conversation
Jamaa :: Dada habari
Dada :: Nzuri!
Jamaa :: Naomba namba yako ya simu.
Dada :: Sitoagi namba yangu ya simu.
Jamaa :: Duh, haya kwaheri!!!
Kijana jifunze kutengeneza some bond before you go for it. Hakuna mwanamke mgumu duniani hapa, ni wewe tu ndio mgumu. Show her respect but don't fear her...
Kijana ukiangaliwa kwenye macho unatazama pembeni au kuangalia chini, hapo unakuwa tayari umefeli.
ha hahaa haa haaa