Recent content by Mjusi_kafir

  1. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunaenda villa park na tunashinda Amini hili..
  2. Mjusi_kafir

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiongozi wa machinga Simu 2000 ametekwa na watu waliojitambulisha ni polisi. Ametafutwa vituo vyote hajapatikana

    Hii tabia haijakoma siku 5 leo kaka yangu kafatwa kwake, kachukulia na polisi tumeangaika kila kitu hayupo na wakati shemeji alipigia simu siku iyo iyo kaambiwa kweli yupo centro polisi mwanza.. Aki ya Mungu naapa kisasi kitalipwa iwe kwa njia yoyote ile iwe kwa njia yoyote ile kisasi...
  3. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna kipi ulikiona kwa Chelsea kwenye game na Barca ambacho unaamin wakichezq vile vile basi wanakufa nyingi mtaalam
  4. Mjusi_kafir

    JamiiForums Tanzania GE2025 Picha na Video: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu 29 Oktoba 2025

    Mwanza mwanza mwanza ,,, Kisesa Igoma National nyakato aiseee watu kwel wamechoka , ile zima moto habari wanayo 😁
  5. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hawa Liverkuku ifike hatua tusiwacheke aisee wanasikitisha sana, kabla hatujacheza na Nyekesto zilikua zinapigwa hesabu kua tukifungwa tu basi mbizo za ubingwa ndo basi tena,, leo wana gape na mateso makubwa sana, tuwaombee tu maana inahuzunisha mno
  6. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Njoo sasahivi uulizie bei ile best eleven utapata majibu yako
  7. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sio kwamba hawajui wanachokifanya, na hata wao wanajua wanahitaji Top CF, deal la madueke limekamilika na dili ya Gyokeres litakamilika kwan kati yetu anajua Bajet ya Arsenal msimu huu ni kiasi gani???.
  8. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna mtu aliwahi kusema mwaka jana km sikosei kua Kenge Summer ukienda unajichotea tu wachezaji maana wanakontena la wachezaji naona sasa yameanza kutokea
  9. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ishu ya Rodrigo sioni km tumeichangamkia kiivyo naona kama tupo nje ya.. Wala sijaona kuna timu zmeonyesha nia ya kumuhitaji may be muda bado ama ni bei yake kubwa a a
  10. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa jinsi ilivyo unaamin sesko alikua ni option A na Gyokeres ilikua ni Option B??? Siamin kama ni kwel ila nachoamin ni kilichotekea january kwa sesko ni kama kilichotokea kwa Caicedo january alf baada ya hapo summer kikatokea na Rice
  11. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Uwe na Sesko na Gyokeres kwa wakati mmoja??? Si ndo kitatokea kile kile cha halland na Alvarez mmoja lazima atimke tu ?
  12. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Timu nyingi zina shida ya St why hakuna kugombaniwa kwa washambuliaji hao sokoni Gyokeres Sesko Osihmen ??
  13. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kwa sasa tunahitaji mfungaji tu basi, nafasi tunatengeneza nyingi ila mpira wavuni hauingii suruhisho ni Victor.
  14. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Berta atawanyamazisha tu wanaombeza, Wanasahahu ambacho hua alichokua anakifanya wakati yupo At madrid
  15. Mjusi_kafir

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ..player Only want Arsenal.. hii ndio inayowakasilisha timu pinzani😁
Back
Top Bottom