ELIMU YETU NI BOMU LILILOANZA KUTULIPUA WATANZANIA WA KARNE HII.
KUNA CHUO KIPO KULEE SEHEM SEHEM KINATOA SHAHADA YA SHERIA ,KINA MALEKCHALA WATATU TU, TENA WENYEW NA TUTOLIO ASISTANTI.
NA HAWAINGII DARASANI.
NA WATU WANAGRADUETI TU KILA MWAKA.HAHAAAA
KUNA TATIZO KWANI
Balozi ni kama muwakilishi sio tu wa nchi bali pia mtetezi wa sera ya serikali ya Nchi, . ana mamlaka ya kuisemea Nchi hukooo abroad. sasa kwa mfano unamteau LEMA kuwa Balozi wako umoja wa mataifa , halafu aulizwe kuhusu mchakato wa katiba.je atautetea msimamo na sera ya serikal yetu ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.