G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,709
- 1,809
Mi naona ni kama wewe ndo hujielewi, kwa njinsi ulivoeleza usikute hata yeye anamawazo kama yako na labda ameshaanza kutafuta mchepuko wa kujipoozea,
We mwanamke gani ambae kila siku unasubiria eti mumeo ndo akuanze kila siku hivo hivo tu! Eti umemchoka mumeo! Nae kachoka, amini usiamini yeye alichoamua ni kufanya kujiridhisha yeye tu, we endelea na ujinga wako, na ujue unavofanya hivo unashusha kabisa uwezo wake wa kufanya mapenzi na na wewe, akienda kwa mwingine atajiona yuko vzr zaidi kitandani kuliko akiwa na wewe ( ambae hujielewi)
Mwanamme anakuwa na nguvu kwa hisia tu, stimu zikikata (kama wewe zilivokata) uume wala hausimami, atakuona kama mwanamme mwenzake tu,
Wanawake mnaharibu ndoa zenu kwa kukosa akili"
We mwanamke gani ambae kila siku unasubiria eti mumeo ndo akuanze kila siku hivo hivo tu! Eti umemchoka mumeo! Nae kachoka, amini usiamini yeye alichoamua ni kufanya kujiridhisha yeye tu, we endelea na ujinga wako, na ujue unavofanya hivo unashusha kabisa uwezo wake wa kufanya mapenzi na na wewe, akienda kwa mwingine atajiona yuko vzr zaidi kitandani kuliko akiwa na wewe ( ambae hujielewi)
Mwanamme anakuwa na nguvu kwa hisia tu, stimu zikikata (kama wewe zilivokata) uume wala hausimami, atakuona kama mwanamme mwenzake tu,
Wanawake mnaharibu ndoa zenu kwa kukosa akili"