Hata akirudi TZ haitakuwa kama zamani! Iliyobaki atafute kazi & arudi shule. Na wala asichague kazi gani hata ya kusafisha choo pouwa tu! Ila asitegemee kuwa music itampa kula US!!!
Ndio tabu ya wabongo ukisema kweli wanaona huna kazi....hao ni wanafiki wakubwa wamezoea kuona watu wanafagilia mafisadi na kupewa sifa za kijinga. Endelea kaka na kazi ya kuelimisha jamii na kuwafichua hao wanaokula jasho la wananchi.
Hivi wewe ni binadaam? Kumbuka tunazungumzia mtu ambaye amefariki! Acheni kuhukumu watu mwacheni Mungu Muumba ndiye awahukumu. Mwacheni marehemu kama alikuwa na mambo ya ajabu ilikuwa wakati wa uhai sasa hayupo tena. Siku yake imefika, na kama zitakapofika za kwetu pia. Hatujui lini wapi wala...
Halafu anasema "IN GOD WE TRUST" kweli????Huyu angesema "in money we trust" ni lazima pesa aipate kwa njia yoyote ile. Hafuati maadili ya uandishi kabisa. Ni kuharibia wau maisha yao tu.
Kapendeza tuache kumponda na kusema kuwa eti ana ugonjwa; nyie manaosema anaumwa nyie wazima? kaamua kukonda ni maisha yake haina sababu ya kuanza kumchambua. Au mnasahau unene ni ugonjwa..ameamua kupnda afya yake....
Upo serious au unatania...unaweza ukawa unatania. Kama ni mvua uongozi wa huyu ni Sunami na ni janga la taifa. Madhara yote yananaonekana...sihitaji kuorodhesha.Huyu hata kuwa mwenyekiti wa mtaa hakufaa...
l
Kama unatenda mabaya yako usiandikwe kwani wewe nani bwana? Ukitenda mema utaandikwa kwa mema yako na ukitenda mabaya vile vile. Huyu mama anasahau kuwa kuna uhuru wa mtu kutoa maoni yake? Aende bungeni kutoa hoja za kuendeleza jamii, ana mambo mengi tu ambayo anahitaji kuwafanyia wananchi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.