Nyundo Kavu
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 186
- 85
- Thread starter
- #21
vimeoooo
Ni miongoni mw v2 ninavyovchukia sana,unakuta m2 kajiita Obama wakat hata darasa la saba hakumaliza au Rihanna wkt mweusi tii zaid ya mkaa! Washndwe na walegee!
Amber Rose Original mrembo sana..
Ila si njema kujiita jina la mastar ..
..hawajui kama wakifanya vizuri katika sekta walizopo watatoka tu na majina yao ya kina Jacline Wolper ,Sinta nk nk
Jacline Wolper MASAWE
masawe halilipi stejini......Duuh! Sasa mbona hatumiagi hiyo Masawe?
hapo angefanyiwa hivyo na Mbongo mwezie pangechimbikamasawe halilipi stejini......
angalia akijiacghia kuchunguliwa sehemu zake za wazi(sio za siri tena) na dj cleo wa SA...
masawe halilipi stejini......
angalia akijiacghia kuchunguliwa sehemu zake za wazi(sio za siri tena) na dj cleo wa SA...
mimi naona sio tatizo waachwe wajiite wapendavyo. afterall JF most members wapo kama hao majina mnayotumia hapa mengi ni fake!!! fake from china, fake from usa , fake from mbagala au nachingwea yote ni FAKE. acheni kua cyberbullies wote mna identity issues!!!! kwanini hamtumii majina yenu????
hahaha madameX swaga unique avata copirite ya supa staaX why not avataX which is unique. still u're like all those.Huo ndio ujinga wenyewe, kama wao wanawake wa kweli kwanini haupaizii jina lako. I want to be known as MadameX utake usitakee I have my own swaga which is unique.