Recent content by missosai

  1. M

    Lini Serikali itakamilisha ujenzi wa hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga?

    Tu ulizane wote maana hata Mimi naliona jengo lipo lipo tu nafikiri wana subiri muda wa Kampeni labda!
  2. M

    Je, wanadai demokrasia yao kimyakimya?

    Hali ngumu ya maisha watu wakiamka wana waza watakula nini leo wapo bize kutafuta riziki
  3. M

    Baada ya Utawala wa Magufuli, nini kitatokea?

    Hilo uliosema sipingi lolote linaweza kutokea baada ya awamu ya tano hii post itunzwe
  4. M

    Ninafeli wapi? Wana jamvi karibuni kwa ushauri

    Huu uzi utachangiwa na wengi natabiri
  5. M

    Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

    Anaitaji ushauri sio ivyo ulivyo mwambia
  6. M

    Msemaji wa Waasi Rwanda: Hatuna namna zaidi ya kupigana na Kagame

    Sija elewa hii habari Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Kama mwanamke wako hajawahi kujamba mbele yako basi kuna vingi anakuficha

    Haya wamekusikia Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Rais Magufuli na Watanzania, huu ndo ukweli mkavu kuhusu Tanzania 2019

    Hii Jamiforum inawatu wenye majibu mafupi na yakueleweka hilo jibu linatosha kabisa iwe asili yake ubishi na kutokuelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Rais Magufuli na Watanzania, huu ndo ukweli mkavu kuhusu Tanzania 2019

    Hata Mimi niliwaza Sana kuhusu ilo jambo siku pata jibu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Hivi umeshawahi kuwa na mwanamke mwenye akili?

    Sio kweli ulio sema inamaana uchague familia gani ya kuoa kisa wana hali frani nzuri ila huo mtazamo wako umesahau Kama mmependana wote wawili hali yenu sio nzuri umuachane kisa kwao masikini! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Huenda huu ukawa ni Ujumbe muhimu wa Marais wapenda Sifa, Kunyenyekewa na Kutukuzwa kama Mungu duniani

    Wewe ulipotoa hii habari ulilenga kiongozi wa nchi gani mwingine anae penda kusifiwa tofauti na huyo kiongozi wa nchi hio uliotaja Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Lugola awatangazia vita wanaomkejeli Rais Magufuli mitandaoni

    Nikiongozi mfano wa kuigwa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Naomba msaada kidogo wa kifedha, naumwa T.B na mke wangu ni mjamzito

    Ulisha wai kuumwa tb Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Mzunguko wa hela umekuwa shida sana mitaani

    Mie nafikiri Hakuna sababu kusemea kwenye mitandao hali kua ngumu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom