Hii Jamiforum inawatu wenye majibu mafupi na yakueleweka hilo jibu linatosha kabisa iwe asili yake ubishi na kutokuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ulio sema inamaana uchague familia gani ya kuoa kisa wana hali frani nzuri ila huo mtazamo wako umesahau Kama mmependana wote wawili hali yenu sio nzuri umuachane kisa kwao masikini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulipotoa hii habari ulilenga kiongozi wa nchi gani mwingine anae penda kusifiwa tofauti na huyo kiongozi wa nchi hio uliotaja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.