Naomba msaada kidogo wa kifedha, naumwa T.B na mke wangu ni mjamzito

Nikuulize swali umewah kuongia kwenye word ya wagonjwa wa tb??

Chumba cha dactar anaruhusiwa kuingia mgojwa wa TB na doctor huwa anakuwa katka mavaz ya kawaida, mbona hakuna dactr aliye wahi kulalamika kuwa wagonjwa wa TB wanatuambukiza TB????

Sent using Jamii Forums mobile app
Sa
sasa hapa unakubalina nami au
 
Habari wana jukwaa.
Ni imani yangu mu wazima wa afya.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada

Mimi in kijana mwenye umri wa miaka 26, naishi Geita kijiji kinaitwa lwamgasa.

Nilikuwa nikifanya kazi kwenye migodi midogo ya dhahabu(ikumbukwe Mara nyingi tunafanya kazi kwenye mazingira hatarishi mfano vumbi,mwingiliano wa watu na urahisi wa kuambukizana magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa kama T.B).

Hivyo nilijikuta nimeambukizwa T.B,awali nilianza kukohoa taratibu,mwili ukawa unakosa nguvu na joto Kali wakati was usiku.

Hali hiyo ilidumu kwa muda wa miezi miwili na haikuathiri sana utendaji kazi wangu kwani nilikuwa nikienda kwenye dispensary napimwa na kupewa tu dawa za kuzuia kikohozi na mafua

Hali ilibadilika usiku wa tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka ambao tumeuaga Jana kwani nilikohoa mabonge ya damu,ikabidi niende hospitali ya mkoa ndipo wakabaini nina ugonjwa wa kifua kikuu.

Nilianzishiwa dozi ya vidonge vinne kwa siku kwa muda wa miezi miwili kabla ya kubadilishiwa dozi ya miezi minne ya mwisho

Nilizuiliwa kufanya kazi ngumu ,ikumbukwe kuwa maisha yangu yamejikita zaidi kwenye kazi ngumu kama kulima na uchimbaji wa madini.

Hivyo kiasi kidogo kilichokuwepo kama akiba nilimpa mke wangu aongezee kwenye biashara yake ya genge.

Kwa bahati mbaya sana mke wangu alikuwa mjamzito,pia nae nilimwambukiza hiyo T.B,ufanisi kwenye biashara ukapungua na mwisho akaacha.

Kukatisha urefu wa mada,nimejitokeza hapa kuhitaji msaada japo niweze kuhudumia familia yangu kwa huu mwezi mmoja wa matibabu uliosalia ili nisiitese familia yangu.

Nahitaji msaada wa laki moja ili ninunue chakula nikiwa nasubiri kumaliza dozi ili noendelee na kazi,akiba yangu imeniishia na mke ni mjamzito.

Kwa atakaye guswa 0755322031.

Cc @skyeclat Mshanajr Nifah GENTAMYCINE Jambazi @kassie

Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho,

Nimepata msaada kutoka kwa msamalia humu humu,kanitumia sh elfu 12,bado nahitaji msaada wenu
Uza shamba

mvujajasho nguli
 
Watu ambao wana magojwa ya kupelekea kinga ya mwili kushuka ndio, rahis kupata TB

Ila kwa mtu mwenye afya yake na anachimba mgodin hyo kitu haipo.

Ukitaka uamin.

Wodi ya wagojwa wenye TB watu wanaingia kawaida na kutoka, hata dactar akiwa anaongea na mgojwa wa TB anakaa nae hapa na hapa
wala haitaji kuwa na mask
manengelo

Sent using Jamii Forums mobile app
TB ni Airborne disease Mkuu.Inaambukizwa kwa kukohoa,kupiga,kutema mate,Kucheka na kuongea.Ukivuta hewa ambayo ina Bacteria wa TB unapata TB.Unavaa mask unapoongea na mgonjwa mwenye TB.
 
Leo nimejifunza kwa madaktari wa hapa kuwa
1.TB haiambukizwi kwa njia ya hewa. Ni hadi uguswe na makohozi)
2. Mazingira ya kazi za mgodini (uchimbaji kwenye hewa ndogo na vumbi) hayachangii kuenea kwa TB.
3. Mtu ambaye hajapungukiwa kinga mwili hawezi kabisa kuambikizwa, ni hadi awe na HIV au kwashiorkor (kwa kifupi awe mgonjwa).
4. TB haiambukizwi kwa kukaa na mgonjwa (hata kama hajaanza kutumia dawa).
5. Wodi za TB ndugu na wahudumu wa afya wanajiachia tu.
6. N.k
MD? Basi tuna safari ndefu.

Na mimi nikienda soma medicine ntajifunza zaidi kuhusu Pathophysiology, pia epidemiology hasa occupational epidemiology.
😀😀😀😀,Hawezi kuwa MD.
 
Habari wana jukwaa.
Ni imani yangu mu wazima wa afya.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada

Mimi in kijana mwenye umri wa miaka 26, naishi Geita kijiji kinaitwa lwamgasa.

Nilikuwa nikifanya kazi kwenye migodi midogo ya dhahabu(ikumbukwe Mara nyingi tunafanya kazi kwenye mazingira hatarishi mfano vumbi,mwingiliano wa watu na urahisi wa kuambukizana magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa kama T.B).

Hivyo nilijikuta nimeambukizwa T.B,awali nilianza kukohoa taratibu,mwili ukawa unakosa nguvu na joto Kali wakati was usiku.

Hali hiyo ilidumu kwa muda wa miezi miwili na haikuathiri sana utendaji kazi wangu kwani nilikuwa nikienda kwenye dispensary napimwa na kupewa tu dawa za kuzuia kikohozi na mafua

Hali ilibadilika usiku wa tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka ambao tumeuaga Jana kwani nilikohoa mabonge ya damu,ikabidi niende hospitali ya mkoa ndipo wakabaini nina ugonjwa wa kifua kikuu.

Nilianzishiwa dozi ya vidonge vinne kwa siku kwa muda wa miezi miwili kabla ya kubadilishiwa dozi ya miezi minne ya mwisho

Nilizuiliwa kufanya kazi ngumu ,ikumbukwe kuwa maisha yangu yamejikita zaidi kwenye kazi ngumu kama kulima na uchimbaji wa madini.

Hivyo kiasi kidogo kilichokuwepo kama akiba nilimpa mke wangu aongezee kwenye biashara yake ya genge.

Kwa bahati mbaya sana mke wangu alikuwa mjamzito,pia nae nilimwambukiza hiyo T.B,ufanisi kwenye biashara ukapungua na mwisho akaacha.

Kukatisha urefu wa mada,nimejitokeza hapa kuhitaji msaada japo niweze kuhudumia familia yangu kwa huu mwezi mmoja wa matibabu uliosalia ili nisiitese familia yangu.

Nahitaji msaada wa laki moja ili ninunue chakula nikiwa nasubiri kumaliza dozi ili noendelee na kazi,akiba yangu imeniishia na mke ni mjamzito.

Kwa atakaye guswa 0755322031.

Cc @skyeclat Mshanajr Nifah GENTAMYCINE Jambazi @kassie

Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho,

Nimepata msaada kutoka kwa msamalia humu humu,kanitumia sh elfu 12,bado nahitaji msaada wenu

Aisee kumbe uliamua kumuoa baada ya kumalizia chuo, sasa inakuwaje wasomi mnaenda kuchimba dhahabu badala ya taaluma zenu mlizosomea Nashindwa kukusamehe nashindwa kukuacha - JamiiForums
 
Mgonjwa anapokuja hospital huonana na doctor moja kwa moja kwenye chumba chake, na wakati huo doctor anakua hajui mgojwa aliye ingia anaumwa nn..
Je umewahi kuingia kwa daktari ukamkuta kavaa mask???
TB ni Airborne disease Mkuu.Inaambukizwa kwa kukohoa,kupiga,kutema mate,Kucheka na kuongea.Ukivuta hewa ambayo ina Bacteria wa TB unapata TB.Unavaa mask unapoongea na mgonjwa mwenye TB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa anapokuja hospital huonana na doctor moja kwa moja kwenye chumba chake, na wakati huo doctor anakua hajui mgojwa aliye ingia anaumwa nn..
Je umewahi kuingia kwa daktari ukamkuta kavaa mask???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Dr anakuwa hajavaa mask kwa sababu anakuwa hajui kama yupo na mgonjwa wa TB!! Vipi kama akishajua, anaendelea kukaa hivyo hivyo kama ulivyosema huko awali. Mi naona unaanza kuzipinga kauli zako indirectly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komaa hayo ndiyo maisha, kama kila mtu humu angetoa story yake ya kimaisha hiyo yako mbona cha mtoto.

Afu unampatia ze wife ujauzito wakati we ni mgonjwa, eeee!!!
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom