Ilikua express inatokea mbezi kwenda muhimbili na Ilikua inakimbia balaa sasa pata picha imatoka kumaliza fly over
Inakutana na Boda Boda kakatisha kwenye zebra dah.
Nilishuhudia hii ajali jinsi yule abiria alivyokua akihangaika kujiokoa
Lakini ilishindikana
Sasa hii picha imenikaa kichwani
Inasikitisha sana.. Apumzike kwa Amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.