BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,031
Kuna mmoja anafosi nimuoe na ananitishia kwamba machozi anayoyatoa hayaniacha salama as if Mungu ni mali yake peke yake.
Daah
Kuna mmoja anafosi nimuoe na ananitishia kwamba machozi anayoyatoa hayaniacha salama as if Mungu ni mali yake peke yake.
Mmh mbona kama anakulazimisha we hautaki? Unaenda kwao kisa ye ndio anataka??!Sina jinsi inabidi nifanye hivyoo
Nenda ukamnusuru na Aibu ya kutoolewa hamna mapenzi hapoTofauti na ladies wengi walio below 29 lakini ladies wengi ktk mahusiano akishafikisha age of 30 anataka akupeleke kwao akakutambulishe au ndoa tena mwingine ana force hatari bila hivyo hamuezi hata kuelewana.
Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe.
Well SaidKwa walio wengi pindi wakifikisha huo umri tayari wanaanza kuonekana wa kawaida, kwa hiyo wanakua na wasiwasi kama ukimuacha itamchukua muda kumpata mtu mwingine, sasa ili kuzuia hio hali isitokee lazima aanze kukusumbua mfunge ndoa.
Lakini mtu wa age chini ya miaka 27 hawezi mara chache sana kuzungumzia masuala ya ndoa maana anajua hata mkiachana ni rahisi kupata mtu mwingine.
Mwisho kabisa kama unaona huyo anaekulazmisha mfunge ndoa ni mtu sahihi, nakushauri tu fanya hivyo maana ni jambo la kheri pia.
😈😈😈wanawake wajinga na wapumbavu sana
Kumbuka kuna aliyeenda leba kwa ajili yakowanawake wajinga na wapumbavu sana
😂KwannWanawake tuna huruma sana
Hashindwi kukuwekea sumu ufe huyuTena wengine wanatumia hadi uchawi na ushirikina kwenye mambo hayo!
Buyer beware!
Point Kubwa Sana hiiWanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Ulimuweza😀Mi nakumbuka nikiwa na 30 kuna jamaa kunitongoza tu ikawa kama amejikoki,Katika mazungumzo ikabidi niingizie kaishu ketu,,,"home kujitambulisha utakuja lini?" Ghafla akapaliwa michips yai ikatoka nje baadhi zilinirukia.Nadhani alipaliwa tu,sidhani kwamba ni sababu ya kushtuka.