Boda boda wanahatarisha sana maisha yao, trafic hawana muda wa kuwashauri. Wanapack piki piki zao pembeni mwa barabara.Pole kwa Wafiwa. Bus gani. Nahisi litakua linatoka Iringa linaelekea Dar.
Ila Bodaboda wanajisahau sana. Mi sio judge ila najua wenye makosa ni boda.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app