Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni...
Dodoma kuna Dispensary moja ipo Majengo Sokoni, ni ya Wachina wanatibu vizuri sana. Kuna ndugu yangu alikuwa anasumbuliwa na tatizo kama lako, wana mashine nyingi za kutafuta tatizo na hatimaye kulitibu
Nyerere ameachia madaraka miaka 34 iliyopita, kwann mmeshindwa kuendelea kama yeye ndio kikwazo. Alikabidhiwa nchi ikiwa na magonjwa lukuki, engineers wawili tu, miundombinu hakuna. Amejenga nchi na umoja wa kitaifa Leo hii unasemaje wewe? Utapigwa mawe hadharani
Tatizo hujui unachozungumza unaongea porojo tu. Unajua Ikulu ya Dodoma inajengwa na nani sasa hivi? Mbaya zaidi wamekariri bandari tu, wakati mradi una package nyingi tofauti tofauti. Pia Ni China na Oman, usimtusi mchina peke yake
Nyerere aliwahi kusema,Watu hawapelekewi maendeleo, maendeleo wanajitafutia wenyewe. Nyerere ameletaje huo umaskini? Ulitaka nani awe rais wa kwanza kipindi hicho nchi inapata Uhuru ilikua na Mainjinia wawili tu.
Wachaga kuweni na huruma jamani Khan! Hivi kuna kabila lililofaidi nchi hii kuliko nyinyi. Lami mpaka migombani, maji, umeme n.k
Hivi watu wa Nkasi Sumbawanga au Mbinga huko Ruvuma wasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.