Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,967
- 42,206
Naunga mkono hoja kwa moyo mweupeNamtakia Unai maisha mema yenye Baraka ndani ya Arsenali,Wenger alipewa miaka 20 akavuna EPL 3 huyu apewe 20 atavuna tu kwani kaua kicheche mpaka apate mkosi wa kuchukiwa hivyo misimu miwili tu?Apewe mda mashabiki wenzangu Arsenali tuendelee na uvumilivu tulivumilia kwa Wenger Unai ni nani tumvumilie.Nawatakia vipigo na vidroo vyema.





