Hongera Rais kwa hili la kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo nakuunga mkono 100%

Sijawahi na sitarajii kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.mimi ni mtu huru na napenda sana kuwa huru. Penye ukweli huwa nasimama bila unafiki
Kweli mkuu, huu uzi umekuja baada ya Job Ndugai kusema bandari ingekua na faida kuliko SGR!
 
Wachina wazuri walikuwa wakati ule wa Mao na Nyerere. Wakati huo hali zetu za uchumi zilikuwa zinafanana kwa kiwango kikubwa. Hawa Wachina wa Leo ni Bora Wazungu wa Leo kwa Sababu wazungu wana angalau Roho ya kumwogopa Mungu.

Wachina wa Leo hawana tofauti yoyote na wanyang'anyi. Tena hawana aibu wala huruma.Wangeruhusiwa kuchukua hiyo bandari ya Bagamoyo pamoja na maeneo ya jirani mpaka Tanga, tafsiri yake ni kwamba mmeamua kuuza Robo ya nchi yetu. Wakafie mbele na uroho wao. Wanafikiri sisi ni vilaza Kama viongozi wa Zambia ambao wakishapewa Mvinyo wa kichina na changu wa kichina wao kila kitu ni ndiyo, matokeo tutayaona soon.

Kiongozi yeyote wa Africa wa Leo anayeamini kwamba Mchina wa Leo ni Rafiki mzuri, huyo atakuwa hajitambui au atakuwa na maslahi yake binafsi.

Mifano ipo mingi sana, ila hapa natoa michache tu mingine mtajiongeza wenyewe.

1 Tangu Mzungu ametoa Mguu Zimbabwe na Mugabe akawakaribisha Wachina kwa mbwembwe, je ni nini kimefanikiwa Leo Zimbabwe?. Jibu ni. wazimbabwe wamezidi kuwa masikini na hata kile kidogo walichokua nacho Mchina kakichukua chote. Sasa Zimbabwe ni Omba omba namba moja Africa.

2. Sudani kusini, Marehemu Dr John Garang baada ya Marekani kuwasaidia ktk ile vita Yao na Sudan ya Bashir hatimaye Sudan kusini ilifanikiwa kujitawala Kama Nchi huru. Kosa kubwa alilolifanya Dr John Garang , ni kitendo cha kuwapa yale mafuta yote Wachina.Leo ni mwaka wa 6 Sudani kusini ni vita vya wenyewe kwa wenyewe inakadiriwa takribani watu laki 3 wamesha uwawa mpaka sasa. Mchina yeye hana habari wala hajawahi kusaidia Mazungumzo ya aina yoyote ya Amani. Yeye ananyonya tu. Ni Kama kupe. Hadi ufe, akikosa damu fresh ndiyo anaondoka.

Mifano ya ushenzi wa Wachina wa Leo ni mingi sana. Kuwaamini ni makosa makubwa sana. Hawa wa Leo ni wabaguzi kuliko Wazungu na Wahindi. Wana tamaa kubwa iliyopitiliza ya kupata pesa toka Africa. Wana mtandao wao wa Qq ambao unawaunganisha dunia nzima. Wanakaba kila fursa kwa sababu wanapeana information haraka sana.

Hongera sana Raisi na Mawaziri mliostukia utapeli wa hawa Wahuni. Siku tukihitaji kujenga Bandari ya Bagamoyo sisi wenyewe tunaweza kufanya Harambee kwa mapenzi mema kwa ajili ya maendeleo yetu na tukafanikiwa
i thought unahoja za maana kumpongeza rais kumbe ni ngonjera za njaa tuu, kwani hakuna miradi mingine rais huyu huyu ameisain na mchin?? so nayo unasemaje??
acheni sifa za kutokufikiri kwa akili, ishu ni hivi kwa taarifa mkata wa ile project ya bandari bagamoyo haujakaa sawa kimaslai, ungekuja na sababu hii ningeona kweli unatoa pongezi.
 
Ni wale aliowasema mzee Makamba juzi wanaoweza kulaumu serikali kusitisha upuuzi wa bandari ya Bagamoyo wakati tuna bandari ya Tanga na Mtwara zinazohitaji fedha kiasi kuboreshwa na kuleta tija kubwa Tanzania badala ya Kujenga bandari mpya ya Baganoyo.

Hii bandari haijengwi kwa hela za Tanzania, inajengwa kwa hela za China na Oman, eneo walilochagua wao ni Bagamoyo kulingana na hesabu zao, sisi tunatoa eneo tu.. Issue sio kuboresha hizo Bandari, bali issue ni mizigo itatoka wapi? tujaribu kuishi kivitendo na si kwa nadharia..
 
Sijawahi na sitarajii kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.mimi ni mtu huru na napenda sana kuwa huru. Penye ukweli huwa nasimama bila unafiki
Tatizo hujui unachozungumza unaongea porojo tu. Unajua Ikulu ya Dodoma inajengwa na nani sasa hivi? Mbaya zaidi wamekariri bandari tu, wakati mradi una package nyingi tofauti tofauti. Pia Ni China na Oman, usimtusi mchina peke yake
 
kiuhalisia hakukuwahi kuwa na sababu ya msingi ya kujenga bandari ya bagamoyo kwa gharama kubwa, wakati ingewezekana kupanua bandari za mtwara na lindi.
 
mbona hili swala, lilipingwa sana na wapinzani mkuu,
Ni kweli. Ni muhimu jambo baya linalohusu Taifa au mradi mbaya tukaupigia kelele wananchi wote kwa sababu hasara na maisha Yakiiwa magumu huwa hayabagui uchama. Ila huu mradi wa Bagamoyo ni Useless
 
mradi wa bandari wa bagamoyo unafanana na mradi wa pakistan wa bandari ya Gwadar,ambayo sasa imekamilika na ina operatiwa na china lakini ni mali ya pakistan,au mradi wa iran wa Chabahar,uliojengwa kwa ushirikiano wa india,ni miradi inayokwenda kuwa na faida sana,tatizo wabongo ujuaji mwingi
 
Wachina wazuri walikuwa wakati ule wa Mao na Nyerere. Wakati huo hali zetu za uchumi zilikuwa zinafanana kwa kiwango kikubwa. Hawa Wachina wa Leo ni Bora Wazungu wa Leo kwa Sababu wazungu wana angalau Roho ya kumwogopa Mungu.

Wachina wa Leo hawana tofauti yoyote na wanyang'anyi. Tena hawana aibu wala huruma.Wangeruhusiwa kuchukua hiyo bandari ya Bagamoyo pamoja na maeneo ya jirani mpaka Tanga, tafsiri yake ni kwamba mmeamua kuuza Robo ya nchi yetu. Wakafie mbele na uroho wao. Wanafikiri sisi ni vilaza Kama viongozi wa Zambia ambao wakishapewa Mvinyo wa kichina na changu wa kichina wao kila kitu ni ndiyo, matokeo tutayaona soon.

Kiongozi yeyote wa Africa wa Leo anayeamini kwamba Mchina wa Leo ni Rafiki mzuri, huyo atakuwa hajitambui au atakuwa na maslahi yake binafsi.

Mifano ipo mingi sana, ila hapa natoa michache tu mingine mtajiongeza wenyewe.

1 Tangu Mzungu ametoa Mguu Zimbabwe na Mugabe akawakaribisha Wachina kwa mbwembwe, je ni nini kimefanikiwa Leo Zimbabwe?. Jibu ni. wazimbabwe wamezidi kuwa masikini na hata kile kidogo walichokua nacho Mchina kakichukua chote. Sasa Zimbabwe ni Omba omba namba moja Africa.

2. Sudani kusini, Marehemu Dr John Garang baada ya Marekani kuwasaidia ktk ile vita Yao na Sudan ya Bashir hatimaye Sudan kusini ilifanikiwa kujitawala Kama Nchi huru. Kosa kubwa alilolifanya Dr John Garang , ni kitendo cha kuwapa yale mafuta yote Wachina.Leo ni mwaka wa 6 Sudani kusini ni vita vya wenyewe kwa wenyewe inakadiriwa takribani watu laki 3 wamesha uwawa mpaka sasa. Mchina yeye hana habari wala hajawahi kusaidia Mazungumzo ya aina yoyote ya Amani. Yeye ananyonya tu. Ni Kama kupe. Hadi ufe, akikosa damu fresh ndiyo anaondoka.

Mifano ya ushenzi wa Wachina wa Leo ni mingi sana. Kuwaamini ni makosa makubwa sana. Hawa wa Leo ni wabaguzi kuliko Wazungu na Wahindi. Wana tamaa kubwa iliyopitiliza ya kupata pesa toka Africa. Wana mtandao wao wa Qq ambao unawaunganisha dunia nzima. Wanakaba kila fursa kwa sababu wanapeana information haraka sana.

Hongera sana Raisi na Mawaziri mliostukia utapeli wa hawa Wahuni. Siku tukihitaji kujenga Bandari ya Bagamoyo sisi wenyewe tunaweza kufanya Harambee kwa mapenzi mema kwa ajili ya maendeleo yetu na tukafanikiwa


 
Zito alikuwa anajaribu kuulinganisha mtadi wa Mji wa Shenzhen na huu wa bagamoyo ili kupata uhalali wa kujenga hoja. Lakini kiuhalisia, kuulinganisha mradi wa Shenzhen na huu wa bagamoyo ni sawa na Mbingu na dunia.

Kwanza mjue hiyo shenzen Serikali ya china iliu plan huu mji uwe ni mji wa ki electronics. Yaani bidhaa zote za umeme dunia nzima zitoke hapo. Na wamefanikiwa kwa 100% kijiografia Shenzhen imepakana na Hong Kong. Na upande wa China imepakanana na Guangzhou ambao ni mji mkubwa sana wa kibiashara za Kimataifa China.

Wateja wa Shenzhen wanatumia viwanja viwili vikubwa vya ndege . Kiwanja cha Hong Kong Airport na Baiyung Airport,Uwanja wa ndege wa Hong Kong una get 198 na get zote ndege zinapakia masaa 24 na zipo full. Uwanja wa Baiyung una get 226 zote zipo full masaa 24, sasa unaweza ukaimagine ni ukubwa wa kiwango gani biashara zinafanyika Shenzhen. Kwa hiyo kutaka kufananisha huu mradi wa bagamoyo na Shenzhen ni kutaka kutupiga mchanga wa macho.
 
Uzi wa kijinga sijawahi kuona, yaani umeandika kishabiki shabiki bila kutafakari.
Hata hao unaowatetea na wak huwa wanamakosa kama binadamu, kwa hili ni zaidi ya kukurupuka.
Kwa vile nilivyofuatilia ni kwamba kwenye mradi huo China ni mwekezaji na sio kwamba anaikopesa Tanzania iki itekeleze mradi...
Jifunze kufikiria nje ya box ujiulize ni kwann Tanzania imejito...
wewe unadandia tu bila kutafakari, huo mkataba ulishauona? Eti hawatukopeshi wanawekeza! Mkataba ni miaka 90 na mradi wanauendesha wao mpaka pesa zao zitakaporudi. Ikiisha miaka 90 Kama pesa zao hazijarudi wataongeza mkataba. Shithole
 
Wachina wazuri walikuwa wakati ule wa Mao na Nyerere. Wakati huo hali zetu za uchumi zilikuwa zinafanana kwa kiwango kikubwa. Hawa Wachina wa Leo ni Bora Wazungu wa Leo kwa Sababu wazungu wana angalau Roho ya kumwogopa Mungu.

Wachina wa Leo hawana tofauti yoyote na wanyang'anyi. Tena hawana aibu wala huruma.Wangeruhusiwa kuchukua hiyo bandari ya Bagamoyo pamoja na maeneo ya jirani mpaka Tanga, tafsiri yake ni kwamba mmeamua kuuza Robo ya nchi yetu. Wakafie mbele na uroho wao. Wanafikiri sisi ni vilaza Kama viongozi wa Zambia ambao wakishapewa Mvinyo wa kichina na changu wa kichina wao kila kitu ni ndiyo, matokeo tutayaona soon.

Kiongozi yeyote wa Africa wa Leo anayeamini kwamba Mchina wa Leo ni Rafiki mzuri, huyo atakuwa hajitambui au atakuwa na maslahi yake binafsi.

Mifano ipo mingi sana, ila hapa natoa michache tu mingine mtajiongeza wenyewe.

1 Tangu Mzungu ametoa Mguu Zimbabwe na Mugabe akawakaribisha Wachina kwa mbwembwe, je ni nini kimefanikiwa Leo Zimbabwe?. Jibu ni. wazimbabwe wamezidi kuwa masikini na hata kile kidogo walichokua nacho Mchina kakichukua chote. Sasa Zimbabwe ni Omba omba namba moja Africa.

2. Sudani kusini, Marehemu Dr John Garang baada ya Marekani kuwasaidia ktk ile vita Yao na Sudan ya Bashir hatimaye Sudan kusini ilifanikiwa kujitawala Kama Nchi huru. Kosa kubwa alilolifanya Dr John Garang , ni kitendo cha kuwapa yale mafuta yote Wachina.Leo ni mwaka wa 6 Sudani kusini ni vita vya wenyewe kwa wenyewe inakadiriwa takribani watu laki 3 wamesha uwawa mpaka sasa. Mchina yeye hana habari wala hajawahi kusaidia Mazungumzo ya aina yoyote ya Amani. Yeye ananyonya tu. Ni Kama kupe. Hadi ufe, akikosa damu fresh ndiyo anaondoka.

Mifano ya ushenzi wa Wachina wa Leo ni mingi sana. Kuwaamini ni makosa makubwa sana. Hawa wa Leo ni wabaguzi kuliko Wazungu na Wahindi. Wana tamaa kubwa iliyopitiliza ya kupata pesa toka Africa. Wana mtandao wao wa Qq ambao unawaunganisha dunia nzima. Wanakaba kila fursa kwa sababu wanapeana information haraka sana.

Hongera sana Raisi na Mawaziri mliostukia utapeli wa hawa Wahuni. Siku tukihitaji kujenga Bandari ya Bagamoyo sisi wenyewe tunaweza kufanya Harambee kwa mapenzi mema kwa ajili ya maendeleo yetu na tukafanikiwa

Huu mradi wa Bagamoyo ni tofauti sana na hiyo mifano uliyotoa hapa. Ngoja niufafanue kidogo mradi wa Bagamoyo.

Mosi, mradi wa Bagamoyo ni wa kiuwekezaji na wala sio mkopo. Ni uwekezaji wa kiubia kati ya Oman na China na wanakuja na mtaji wao na technical knowhow ya kukamilisha mradi huo.

Pili, moja ya sehemu ya uwekezaji huo ni bandari ya Bagamoyo. Bandari hii ni ya kisasa mno kiasi kwamba itahudumia meli za 4th generation tu ambazo hakuna bandari yoyote katika ukanda wa mwambao wa Africa mashariki yenye uwezo wa ku-handle hizo meli, only Durban of South Africa can handle them. Meli hizi ndio za kisasa zaidi duniani na zina uwezo wa kupunguza gharama za usafiri wa baharini by more than half! Tofauti na upotoshaji unaofanywa, bandari hii haikusudiwi kushindana na bandari ya Dar es Salaam, bali kufidia mapungufu ya Dar Port.

Tatu, mradi huu utachochea sekta ya usafirishaji kukua kwa kasi kubwa zaidi kuliko ilivyo sasa. Hata hiyo Reli mpya ya SGR itapata cargo ya kutosha kutoka kwenye hiyo bandari.

Nne, mradi huu unashirikisha ujenzi wa viwanda vipya mjini Bagamoyo kwa kuigeuza Bagamoyo kuwa Special Economic Zone. Hii ingeifanya Bagamoyo kuwa powerful economic hub kwa ukanda huu wa Africa mashariki na kati. Ingezaa ajira nyingi na export nyingi na kodi nyingi.

Kwahiyo, serikali ilichopaswa kufanya ni ku-negotiate the best deal possible na hawa wawekezaji, ili kuhakikisha kuwa faida kubwa inabaki Tanzania. Huu ni uwekezaji wa USD 10 Billion, ambazo Tanzania hatutakuwa na uwezo nazo kwa miaka ishirini ijayo hata tungeamua kukopa.
 
Sasa huo mradi wa bandari ya Bagamoyo kama ni uwekezaji wa China/Oman by 100% si wawekeze tu, kwani wakiwekeza fedha zao sisi inatupa tabu gani.

Kama baada ya kukamilika wakija kukosa mzigo si hilo litakuwa ni swala lao? Labda kama hao hawataumiliki kwa hiyo 100% na tunalishwa vitu vingine au kuna makandokando mengine kama ilivyozoeleka.
 
Huu mradi wa Bagamoyo ni tofauti sana na hiyo mifano uliyotoa hapa. Ngoja niufafanue kidogo mradi wa Bagamoyo.

Mosi, mradi wa Bagamoyo ni wa kiuwekezaji na wala sio mkopo. Ni uwekezaji wa kiubia kati ya Oman na China na wanakuja na mtaji wao na technical knowhow ya kukamilisha mradi huo.

Pili, moja ya sehemu ya uwekezaji huo ni bandari ya Bagamoyo. Bandari hii ni ya kisasa mno kiasi kwamba itahudumia meli za 4th generation tu ambazo hakuna bandari yoyote katika ukanda wa mwambao wa Africa mashariki yenye uwezo wa ku-handle hizo meli, only Durban of South Africa can handle them. Meli hizi ndio za kisasa zaidi duniani na zina uwezo wa kupunguza gharama za usafiri wa baharini by more than half! Tofauti na upotoshaji unaofanywa, bandari hii haikusudiwi kushindana na bandari ya Dar es Salaam, bali kufidia mapungufu ya Dar Port.

Tatu, mradi huu utachochea sekta ya usafirishaji kukua kwa kasi kubwa zaidi kuliko ilivyo sasa. Hata hiyo Reli mpya ya SGR itapata cargo ya kutosha kutoka kwenye hiyo bandari.

Nne, mradi huu unashirikisha ujenzi wa viwanda vipya mjini Bagamoyo kwa kuigeuza Bagamoyo kuwa Special Economic Zone. Hii ingeifanya Bagamoyo kuwa powerful economic hub kwa ukanda huu wa Africa mashariki na kati. Ingezaa ajira nyingi na export nyingi na kodi nyingi.

Kwahiyo, serikali ilichopaswa kufanya ni ku-negotiate the best deal possible na hawa wawekezaji, ili kuhakikisha kuwa faida kubwa inabaki Tanzania. Huu ni uwekezaji wa USD 10 Billion, ambazo Tanzania hatutakuwa na uwezo nazo kwa miaka ishirini ijayo hata tungeamua kukopa.
Ahadi na matokeo ni vitu viwili tofauti. Tusisahau ahadi waliyoapa Mugabe baada ya Wazungu kuondoka na matokeo yalivyo Leo
 
Back
Top Bottom