Its seems hivi vyeo vya ukuu wa mkoa na wenyewe hawana kazi vifutwe tu,takwimu zipo si wa anzie hapo lakini kama hawajui hivi kama kuna takwimu,watu hawana kazi inajulikana njoo na mpango wako unawasaidiaje sio msako,msako utawapata kibao halafu unawafanyaje unawafunga au unawaanzishia vijiji...
Sasa nauliza kwani mna wateja wangapi semeni azam wenyewe ili mpunguze hiyo amount,halafu semeni sio kweli kwamba mliwatangazia wateja msg za kupandisha ghalama kwa sababu ya vat, na hizo risiti zenu mzikane hapa hapa maana hazina vat wakati wateja mnawalipisha au veepe? Jibuni hoja acheni...
Si ni miaka kumi tena mlikua mnasema kabisa zamu yetu sasa, miaka yenu kumi imeshakwisha bado mnataka na ya magu muwemo vp tena mmejisahau mtaisoma namba
Hapa ndio ninapo washangaa wasomi wetu,msomi anang'ang'ania vat inalipwa na mlaji sawa,sasa ufafanuzi umetoka hatakiwi kulipa mlaji ni hao watoa huduma hivi hapo kisicho eleweka ni nini,kosa ni kutumia hilo neno vat so change it wamekalia majungu tu kisicho eleweka hapo ni nini
Unataka uigwe nini ?wakati huna lolote la kuigwa,ni wewe ndio wa kuiga na huo ndio ukweli, watu wana angalia uwezo sio jinsia,dini au kabila yaani mtu anamakalio mazuri unampa ukuu wa wilaya,huyu nae ni mcha mungu unampa ukulugenzi wa shilika na huyu ni mzalamu mwenzako unampa uwazili ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.