Mkuu, kuna jambo huwa nalipingaga wazi wazi hata mbele ya kiongozi yeyote. Mimi kuwa mwanaccm haimaanishi kwamba ni lazima nijitoe ufahamu. Hiyo nilikataa Siku nyingi. Na ukweli Siku zote umekuwa ukiniweka huru.wanaccm wenyewe kila kitu hewala huyu hataki kuwa nyumbu kama wewe
Kifupi huyu mtu hakuna ajuaye anapotupeleka bila Speed governor hakika atatumbukiza korongoniHapo ndo siwaelewagi CCM...
Yaani mmempa bendera ya CCM kuipeperusha kwenye kinyang'anyiro cha uraisi... Akashinda. Iweje muhofie kumpa uenyekiti wa chama..?? Mjue kuwa Kama raisi, anaongoza watu wengi kuliko idadi ya wanachama wa CCM
1. KWANINI MNAHOFIA..??
2. KWA NINI HAKUKUWA NA MANENO MANENO KAMA HAYA ENZI ZA WATANGULIZI WA MAGUFULI..???
3. KUTOTABIRIKA KWAKE, MNAMAANISHA MAKUNDI YENU NDANI YA CCM..??
4. AU MNAHOFU NA KUFUMULIWA UFISADI..??
Watajijua wenyeweHapo ndo siwaelewagi CCM...
Yaani mmempa bendera ya CCM kuipeperusha kwenye kinyang'anyiro cha uraisi... Akashinda. Iweje muhofie kumpa uenyekiti wa chama..?? Mjue kuwa Kama raisi, anaongoza watu wengi kuliko idadi ya wanachama wa CCM
1. KWANINI MNAHOFIA..??
2. KWA NINI HAKUKUWA NA MANENO MANENO KAMA HAYA ENZI ZA WATANGULIZI WA MAGUFULI..???
3. KUTOTABIRIKA KWAKE, MNAMAANISHA MAKUNDI YENU NDANI YA CCM..??
4. AU MNAHOFU NA KUFUMULIWA UFISADI..??
Wewe una uhakika gani huyu ni MWANACHAMA WA CCM????Hapo ndo siwaelewagi CCM...
Yaani mmempa bendera ya CCM kuipeperusha kwenye kinyang'anyiro cha uraisi... Akashinda. Iweje muhofie kumpa uenyekiti wa chama..?? Mjue kuwa Kama raisi, anaongoza watu wengi kuliko idadi ya wanachama wa CCM
1. KWANINI MNAHOFIA..??
2. KWA NINI HAKUKUWA NA MANENO MANENO KAMA HAYA ENZI ZA WATANGULIZI WA MAGUFULI..???
3. KUTOTABIRIKA KWAKE, MNAMAANISHA MAKUNDI YENU NDANI YA CCM..??
4. AU MNAHOFU NA KUFUMULIWA UFISADI..??
BAVICHA nao wamecharuka hawataki Magufuli akabidhiwe chama wamepanga kukwamisha Mkutano wetu Mkuu wa July 23 jee wanahofia nini?Vijana wa Lumumba baada ya kukoswa u-DC sasa wamecharuka.
Asikudanganye mtu. BAVICHA Wanaomba na kukesha mkuu akabidhiwe, maana wanajua kwa mwendo huu wa ukali, baada ya mwaka chama kitabaki na wanachama 1000 tu, tena wale wazee wa magwanda na magwaride. Mtu mzima hakaripiwi anaelekezwa. Kwa mwendo huu. Ccm tuombe sana Mungu.BAVICHA nao wamecharuka hawataki Magufuli akabidhiwe chama wamepanga kukwamisha Mkutano wetu Mkuu wa July 23 jee wanahofia nini?
Kwa hiyo Bavicha wanakiri Jakaya alikuwa Kikwazo kwao?Asi
Asikudanganye mtu. BAVICHA Wanaomba na kukesha mkuu akabidhiwe, maana wanajua kwa mwendo huu wa ukali, baada ya mwaka chama kitabaki na wanachama 1000 tu, tena wale wazee wa magwanda na magwaride. Mtu mzima hakaripiwi anaelekezwa. Kwa mwendo huu. Ccm tuombe sana Mungu.
jamani wanachama wenzangu tusiwe na hofu juu ya mwenyekiti mpya wa taifa n mtu safi anapenda siasa za wazi,hapendi majungu, unafiki na wizi hivyo tuwe tayari wanachama wenzangu kufanya kazi na kiongozi asiyependa masilahi ya taifa kuhujumiwa na watu wachache lazima keki ya nchi iliwe na watanzania wote aiseee!!!! KARIBU MWENYEKITI!!Hapo ndo siwaelewagi CCM...
Yaani mmempa bendera ya CCM kuipeperusha kwenye kinyang'anyiro cha uraisi... Akashinda. Iweje muhofie kumpa uenyekiti wa chama..?? Mjue kuwa Kama raisi, anaongoza watu wengi kuliko idadi ya wanachama wa CCM
1. KWANINI MNAHOFIA..??
2. KWA NINI HAKUKUWA NA MANENO MANENO KAMA HAYA ENZI ZA WATANGULIZI WA MAGUFULI..???
3. KUTOTABIRIKA KWAKE, MNAMAANISHA MAKUNDI YENU NDANI YA CCM..??
4. AU MNAHOFU NA KUFUMULIWA UFISADI..??
Hilo liko waziKwa hiyo Bavicha wanakiri Jakaya alikuwa Kikwazo kwao?
Mkuu umesema vizuri na ni vizuri kutoa yako ya moyoni,ebu rudisheni hizo kadi maana ccm sasa hapata kuwa mahali salama tenaNdugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu JK. Nasikia una mpango wa kumwachia uenyekiti Yule jamaa yetu ambaye hatabiriki. Nimeona Juzi wakati Lubuva anakabidhi ripoti ya uchaguzi pale magogoni mheshishimiwa huyu, alikupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Ati anasema atawalinda marais wastaafu wote, wakati akijua kabisa kuwa wanalindwa na katiba.hiyo yote nilijua ni mbinu tu nyepesi ya kukufanya ujisikie ili umpe uwenyekiti.
Sasa Mimi Kama mwanachama wako mwaminifu nakuomba, usimpe mpaka muda wako umalizike. Sababu ni kwamba, kaka huku mtaani watu wote wamenuna. Tangu ulipoondoka ukatuaminisha ambayo wewe mwenyewe hukuyaamini, hali ni mbaya sana. Sasa wanachama wenzangu tunajiuliza, je? Ikiwa tu hapa tulipo tayari tuko hoi,ukimpa tena huo uenyekiti si itabidi tukimbie kabisa tukafie mbali! Tuone huruma kaka yetu mkubwa. Imeshatosha. Ukimpa tu. Kadi yangu utaikuta mlangoni kwako na Mimi sipo.
Asante sana kwa kukiri kuwa ndani ya ccm kuna mafisadiNyie ndio mafisadi wa chama mnaogopa utumbuaji wa Magufuli
Vipi pande za Kijitonyama huko kiongozi mkuu ana mpya gani?du ngumu kumesa
Mkuu, ni miezi Tisa sasa, hiyo keki iko wapi? Ebu jaribu tu kufanya ziara bandarini Kama hutalia machozi. Na Kama utafika na bandari ya tanga utatoka machozi ya damu. Ile foleni ya malori ya pale tunduma sasa imekuwa historia. Sijui tulimkosea nini Mungu!jamani wanachama wenzangu tusiwe na hofu juu ya mwenyekiti mpya wa taifa n mtu safi anapenda siasa za wazi,hapendi majungu, unafiki na wizi hivyo tuwe tayari wanachama wenzangu kufanya kazi na kiongozi asiyependa masilahi ya taifa kuhujumiwa na watu wachache lazima keki ya nchi iliwe na watanzania wote aiseee!!!! KARIBU MWENYEKITI!!
Kwa sasa ndani ya ccm kuna makundi haya hapaHapo ndo siwaelewagi CCM...
Yaani mmempa bendera ya CCM kuipeperusha kwenye kinyang'anyiro cha uraisi... Akashinda. Iweje muhofie kumpa uenyekiti wa chama..?? Mjue kuwa Kama raisi, anaongoza watu wengi kuliko idadi ya wanachama wa CCM
1. KWANINI MNAHOFIA..??
2. KWA NINI HAKUKUWA NA MANENO MANENO KAMA HAYA ENZI ZA WATANGULIZI WA MAGUFULI..???
3. KUTOTABIRIKA KWAKE, MNAMAANISHA MAKUNDI YENU NDANI YA CCM..??
4. AU MNAHOFU NA KUFUMULIWA UFISADI..??
Kwahiyo gari halina mwelekeo?Nakuunga mkono kuirudisha ikiwa atampa na usukani wa gari ya pili wakati hili lorry analoliendesha linaonekana kung'olewa steering !!!