Paul Makonda aagiza kusitishwa utolewaji zabuni kwa kampuni 4 za ujenzi

Hongeraa sana Mhe. Makonda hiyo SKOL ina nyuzi nyingi saaaaana humu ikutuhumiwa. Njoo huku Tabata St. Mary ujionee SKOL na watendaji wala rushwa walivyojenga barabara mbovu. hongera kwa hatua hiyo
 
Mkoa Dar,wilaya kinondoni nchi nzima,wanatafuta kiki au kumfurahisha bwana!!!!!!???
 
hapa sasa naona watu wa JF mnaanza kupotoka, yaani huyu kanona madudu mengi sana , hawa hawafai kabisa, barabara miezi minne tu imebomoka
Kiongozi kama barabara miez mi 4 tu imeanza kubomoka.kwenye mikataba ya ujenzi kuna kipengele cha deffects liability period hapa contractor anabd afanye matengenezo ya barabara kama deffects yoyote itatokea kwa kutumia gharama zake mwenyew.
Ktu kingine contractor hawez kulipwa kama kazi yake haijakaguliwa na kuridhisha kama ipo kwenye kiwango.
Mim nazani angewatimua kwanza Tanroads mana hawa ndo wasimamiz.
 
Kuna kampuni moja inaitwa Tanzania Building Works kama sijakosea,iliwahi kulalamikiwa sana bungeni kwamba ilikuwa inapewa zabuni inachukua pesa lakini haimalizi kazi na baadaye inakwenda kushtaki.Ilifanya hivyo kwa jiji la Mbeya na Mwanza,sijui ilifikia wapi
Ipo na ina kazi bandarini
 
Naona mkuu anawaelewa zaidi Estim construction. But akumbuke kuwa makosa ni ya designer aliyetoa spec za kuweka leya moja ya lami badala ya angalau leya mbili.
Lakini pia mkuu wa mkoa ana mantiki maana Skol wamejenga barabara ya Segerea na haina hata miaka mitatu bara bara yote now ina viraka.
Hongera Makonda kwa kuliona hili.
 
Hiyo Del-Monte ndiyo iliyojenga barabara ya TABATA ST.MARY'S ambayo haikumaliza hata miezi 6,imepukutika yote.Cha kushangaza wamepewa tena tenda ya kujenga barabara ya TABATA kimanga.

Dah nchi hii ni SHIdaaaa meeeeen!!!!
 
Habari wanaJF,

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mshimiwa Paul Makonda leo amechukua hatua ya kuzisimamisha na kusitisha Kampuni ya Inshinomya Co. LTD na kuyasimamisha Makampuni mengine ya kujenga barabara ya Germinex construction LTD, Del Monte (T) Ltd na Skol Building Contraction katika Mkoa wa Dar es salaam

Hii ni kutokana na kujenga barabara chini ya kiwango na kuagiza makampuni haya kutopewa tenda yeyote kwenye Mkoa wa Dar es salaam mpaka Mkuu wa Mkoa atakapojirizisha na utendaji wa kazi kwa Makampuni hayo.
Habari wanaJF,

Anasimamisha makampuni peke yake! Watendaji wake waliokuwa wanasimamia hayo makampuni na kukagua kazi zao na kuzipitisha ,amewachakulia hatua gani!?
Hiyo atutangazie,imekuwa kawaida serikali kufanya makosa na kuadhibu upande wa pili!
 
Back
Top Bottom