Recent content by mimikwanza

  1. mimikwanza

    Unamkumbuka Jiti na wimbo wake ndoto tata?

    Ndio huyo huyo
  2. mimikwanza

    Huawei yajidhatiti

    Lakini wameshindwa kuthibitisha hili, wamebaki kwenye nadhalia tuu
  3. mimikwanza

    Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Bab kubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mimikwanza

    Tetesi: Arduino na gsm control

    Nenda Ubungo mkabala na mataa ya Udsm kuna Duka mkono wa kushoto kama unatoka Mwenge. Utaona bango wamechora adruino. Ingawa jina la duka nimelisahau Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mimikwanza

    Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

    Aliye gharamia matibabu ndio anagharamia nauli, malazi, chakula n. k Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mimikwanza

    Lipi ni jiji zuri kati ya Arusha na Mbeya

    Arusha ni mji wa kitalii kwa hiyo kuwa na mahotel ni kitu cha kawaida ila kwa ajiri ya watalii ukute mwenyeji hata mmoja hana uwezo wa kulala ila uwezo wa kuhesabu magorofa na hotel na pia ni makao mkuu ya Afrika mashariki. Mbeya ni mji wa kilimo Pekee hakuna jambo la nyongeza, ambayo inaweza...
  7. mimikwanza

    Naendelea kuwaelimisha mashabiki wa Simba

    Walijaza uwanja kwa msaada wa Manji
  8. mimikwanza

    Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

    Mlishawahi kuonana na Mina mubashara kabisa ukiachana na picha hizo za 360. Ila uzuri wa mtu upo machoni pa mtu
  9. mimikwanza

    Hawa ndiyo wasanii waliovuma sana mwisho wakasanda

    Wateule - jay moe, solo, simba, jafarai Hbc - prof Jay, wille, fanani Wimbo wa boss, jahazi ni za ferooz Mkiwa ni wimbo wa k-sal kamshilikisha ferooz East coast hawakuwahi kuwa na wimbo wa pamoja huo ni wimbo wa gk kawashilikisha east coast
  10. mimikwanza

    SANAMU YA MNYAMA SASA INAPUMUA

    Hivi Mungu alipumzika kuumba dunia siku gani? Haya majina ya Jumapili sijui Jumamosi yasitufanye kuwa tofauti, wakati binadamu ndo kayaita. Na kumbuka hakuna siku iliyoumbwa kuwa Jumatatu wala Jumanne, siku inakamilika pale jua linapochomoza na kuzama. Mwanadamu kazipa majina kwa kurahisisha...
  11. mimikwanza

    Digital Channels kwenye Digital TV build in

    Ok, kwa hiyo sifahamu nilifikiri smart Tv,
  12. mimikwanza

    Digital Channels kwenye Digital TV build in

    Mimi yangu nimeunganisha kawaida kwa antena, unechagua nchi kama mimi kwenye orodha kwa Afrika ni SA pekee, na nikaenda kusearch moja kwa moja nikazipata zikiwa HD kabisa. Au aina ya Tv yako pia mimi ni Tcl
  13. mimikwanza

    Digital Channels kwenye Digital TV build in

    Ni simple mkuu, cha kufanya ni kuwa na antena yako na kuiunganisha kwenye Tv moja kwa moja na kwenda kusearch kupitia menu na utazipata channel nyingi za Tv na redio ndani na nnje ya inchi.
Back
Top Bottom