Huawei yajidhatiti

Huawei yajidhatiti

Huu mfumo wa kiupelelezi ndani ya huawei upoje? Una features gani mpk marekani wasimamie ukucha hivi? Ni kwa marekani tu au ppt pale huawei phone duniani itakapotumiwa?
 
USA wahuni tuu, hawana lolote.
Huu mfumo wa kiupelelezi ndani ya huawei upoje? Una features gani mpk marekani wasimamie ukucha hivi? Ni kwa marekani tu au ppt pale huawei phone duniani itakapotumiwa?
 
Sio unatoa matoleo ya simu mpya kila kukicha halafu ukipata misukosuko kama hiyo kila kitu kina fail,bigup Huawei...
 
Naona hii imewapa akili,hatimaye kuna kitu wamejifunza.
Nafahamu ndio maana nikakuambia mdukuzi mkubwa anamminya mdogo, tatizo USA ameshika mpini, maana China wananaona kufanya tafiti ni kazi kubwa sana, wamebaki kukocpy tu.
 
Marekani alipandisha kodi kwenye bidhaa za kichina zenye thamani ya 200 bilion. Mchina naye akaja ku resoond kuzipandishia bei bidhaa za marekani zenye thamani ya bilion 50 hivi,

marekani aka panic akamtaka mchina aondoe izo kodi otherwise marekani itamuwekea kikwazo, nahisi hii ndio ilichochea mpaka google apige ban huawei


Muamerika ni kama Demu lenye wivu sana,😁😁
 
Lakini wameshindwa kuthibitisha hili, wamebaki kwenye nadhalia tuu
hiyo inawezekana kabisa, Israel through MOSSAD waliwahi kufanya hivyo kupitia tajiri wa vyombo vya habari MAXWELL mika ile, computer za isarel ziliwekewa kakitu wakakaita BACKDOOR, wanakuwa wanakusoma remotelly, kama Trump hadanganyi kama BUSH mtoto wakati wa kumpiga SADDAM, wako sawa!
 
ukielewa maana yake hutasumbuka,thats how the bits are transfered. unadhani mchina hana hiyo!!, among the owners of super computer mchina yumo!!
 
Wabongo Nuksi, kwanini sasa duniani kuna processor za aina mbilu tu zinazotamba x86 na arm kama ni rahisi hivyo?
But China's leaving the US in the dust when it comes to their respective shares of the world's top supercomputers. According to the latest Top 500 list, published Monday (June 25), China has 206 supercomputers and is leading the US by a record margin—82.Jun 25, 2018
 
Back
Top Bottom