Recent content by Mikopo Consultant

  1. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Nasikia hivo pia aliyeenda Zanzibar miaka 5 ilopita ni tofauti kubwa sana na ya sasa, wametoa wapi pesa?
  2. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    sana uhuni mnoo... na benki kuu wamelala
  3. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    ni uhuni mimi nimefanya kazi benki, hiyo ni michezo ili wapate deposit ya siku moja ambayo ni faida kwa benki. Wahuni hao wanaachilia mshahara usiku ili usiutoe leo uutoe kesho
  4. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Huku bado bila bila... naona hata magroup ya kazini ya wasap hayana furaha kabisa watu hawachat itakuwa stress za mshahara. leo watu magari wamepaki
  5. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kesho hahahaha... hii ngoma inawezekana jumamosi hata kesho sioni chochote
  6. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    upo sahihi kwamba ni vizuri kuwa na side hustle ila uhalisia ni kwamba watu wamekula loss nyinhi sana kwenye side hustle. Kuna watu walinunua vibodaboda lakini wakadhulumiwa marejesho. Ni rahisi kuizungumza ila kutekeleza sio jambo rahisi
  7. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wazee wa kazi na utu mambo vip? Naona bado bila bila huku.
  8. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu

    Duh! Kumbe kuna mda mganga anarudisha mpira kwa kipa???
  9. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu

    Hata mimi nimeshangaa
  10. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huyu jamaa wa Wizara ya Elimu anawatapeli Watumishi wa Umma kuwa anaweza kuwafanyia mpango wa uhamisho

    Yaani miezi mitano tu, kuna watu mbona nasikia wanakaa mpaka mwaka ndo mchakato unakuja kutimia.
  11. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Nihame kiwanja Nina Toto Lina makebo balaa

    Kuwa makini. Starehe ni dakika moja, ila vile vidonge utameza kwa miaka yako yote iliyobaki duniani.
  12. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania KKKT Msikubali CCM iwageuze BAKWATA

    Wakipitisha huo utaratibu Askofu Bagonza anatupwa benchi.
Back
Top Bottom