Recent content by Mikopo Consultant

  1. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Fei Toto na Jeuri ya Zanzibar

    Huu ni uongo mkubwa ina maana shashaman analiphwa pesa ya chini ya aziz ki??
  2. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue mgahawa ambao nitakuwa nikionyesha video za Prof Janabi muda wote kama burudani

    wazo zuri ila usianzishe biashara bila wataalamu kuipitia. Nione kwa business plan.
  3. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Asili ya binadamu kujipendekeza na kutaka kukubalika hata na watu wasiomjua

    Hamna hawa ni watu tu kajambanani hata sio watu wa chama
  4. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Asili ya binadamu kujipendekeza na kutaka kukubalika hata na watu wasiomjua

    Tangu juzi naangalia status za whatsapp za watu hapa kazini, kama watu sita hivi wamempost Makamu wa Raisi Mteule, Deo Ndejembi. Sasa nakuwa najiuliza, una mposti mtu ambaye hata hakujui ili iweje? Unampostia nani? Unamjulisha nani ambaye hajapata hizo taarifa kwamba Makamu wa Rais Mteule ni Deo...
  5. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huu ndio uraia wake na dini yake

    Mh! ni uongo lakini mbona kama kweli!
  6. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Daah CRDB hapa bado peupe, wife yeye NMB mzigo ushasoma ngoja nimtongoze hapa ili tulie kuku mshahara wake, nishachoka kula tembele
  7. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Kumbe inawezekana kujenga barabara kutoka Zanzibar kuja Tanzania Bara?

    Baada ya kuangalia ramani inayoonesha kina cha bahari, nimegundua ya kwamba kuna eneo la magharibi ya Zanzibar ambalo lina mwambatano wa kina kifupi sana cha bahari na visiwa vidogo vidogo ambavyo inanipa ishara kwamba huko mbeleni miaka ijayo inaweza kufanyika land reclamation ya kujaza vifusi...
  8. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Nasikia hivo pia aliyeenda Zanzibar miaka 5 ilopita ni tofauti kubwa sana na ya sasa, wametoa wapi pesa?
  9. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    ni uhuni mimi nimefanya kazi benki, hiyo ni michezo ili wapate deposit ya siku moja ambayo ni faida kwa benki. Wahuni hao wanaachilia mshahara usiku ili usiutoe leo uutoe kesho
  10. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Huku bado bila bila... naona hata magroup ya kazini ya wasap hayana furaha kabisa watu hawachat itakuwa stress za mshahara. leo watu magari wamepaki
  11. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kesho hahahaha... hii ngoma inawezekana jumamosi hata kesho sioni chochote
Back
Top Bottom