Promote yourself. System huwa haibadiliki kirahisi hivyo ili ku-accomodate wenye masters. Cha kufanya ni wewe kubadili ajira kwa fursa ya masters uliyokuwa nayo, kwa kutafuta kazi nyingine.
Kama ulikimbia hisabati na probability kwako lazima uone haya mambo ni wizi.
Ipo hivi: probability ya event to occur + probability ya event not to occur = 1
Sasa kama probability ya kufa ni 6% maana yake probability kwamba hajafa ni 94%
Kwahiyo ukisema hajafa na ukabet pesa maana yake utapata...
Mtu hawi mjinga kwa kuitwa mjinga. Tutaujua ujinga wako pale ambapo unajadili mambo yasiyo na ushahidi. Wewe unasema mimi nataka kutapeli watu lakini hunipi ushahidi. Unanipa shutuma za kunilisha maneno kwa mambo ambayo hata sijayajadili. Sasa mimi na wewe nani anaonekana mjinga?
Nilichofanya...
Mkuu, ukisharudi kijijini achana na jembe la mkono litakuua. Huu hapa mchongo nimekupatia. Chimba sana pata madini, ukiwa kijijini wewe unajifungia ndani tu halafu kila wiki unawachinjia wanakijiji Mbuzi. Thats life. Kuchacharika sio lazima uonekane na watu kwamba kila siku unatoka nyumbani na...
Mjanja haibiwi. Ukipewa fursa au dili, fanya utafiti kwanza na ujishauri akili yako kwanza. Wavivu wa kufikiri ndo wanaingizwaga mkenge, na ndio hawa ambao wapo front kwenye comments wakipinga kwasababu historia inaonesha huko nyuma walishapigwa matukio. Waling'atwa na nyoka, kwahiyo hata...
Nchi za wenzetu kuna mifumo mkuu. Na adhabu ya kukwepa kodi impact yake ni kubwa mnoo. Kwahiyo hata kama una crypto basi unajikuta ukipata gain lazima ujipeleke mwenyewe ukalipie kodi. Ipo namna sema ki-afrika bado sana kufika humo
Mtu ukitapeliwa basi umetaka mwenyewe. Miaka 40+ sio miaka ya mtu kutapeliwa tena. Halafu sasahivi ulimwengu wa AI, hivi mtu unatapeliwa vipi? si uulize AI. Watanzania raha sana!
Uwezo upo sema hawajaamua kufikiria. Nchi zilizoendelea mbona wanatoza kodi crypto. Ni basi tu kuna watu hawafikirii nje ya box. Kutoza kodi watu wa crypto na forex inawezekana vizuri kabisa, sema tu watu hawataki kufikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.