ni uhuni mimi nimefanya kazi benki, hiyo ni michezo ili wapate deposit ya siku moja ambayo ni faida kwa benki. Wahuni hao wanaachilia mshahara usiku ili usiutoe leo uutoe kesho
upo sahihi kwamba ni vizuri kuwa na side hustle ila uhalisia ni kwamba watu wamekula loss nyinhi sana kwenye side hustle. Kuna watu walinunua vibodaboda lakini wakadhulumiwa marejesho. Ni rahisi kuizungumza ila kutekeleza sio jambo rahisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.