Recent content by Mike400

  1. Mike400

    Kazi ya kuuza duka Kimara

    Naomba na mimi unichambulie je ni slave work au lah .. malipo 450k kwa mwezi nssf 50k ya mwajiri + 50k ya mfanyakazi .. jumla 100k .. yani hapo umelipwa 450 k nssf 100k .. masaa 12 ya kazi .. nauli hutumii .. makazi umepewa .. Je huu ni unyonyaji au lah
  2. Mike400

    GE2025 Mwandishi wa habari Salim Kikeke achukua fomu kugombea Ubunge Moshi vijijini

    Hatari kaka .. sasa kama mkojani anawania kiti temeke .. yani ukishajulikana kidogo mjini bhasi ... na wengi wao hawana hata form four .. hawa ndo tunategemea wakatutungie sheria za kuongoza nchi ni balaa tupu
  3. Mike400

    Kilimo Cha mpunga kinalimwa mikoa mingi Tanzania sio Mbeya na Morogoro watu walivyo kalili

    Si kweli Kilimanjaro mimi nimeshuhudia wana skimu za mashamba zaidi ya mia tano mpunga unalimwa sana labda sio Kilimanjaro ya Tanzania.. Arusha mpunga unalimwa .. Manyara mpunga unalimwa ..
  4. Mike400

    Hii Nyumba nimeijenga Dodoma nzuguni Juni 2025, fatilia ujue gharama tulizotumia

    Nzunguni hadi city centre ni umbali gani .. vipi viwanja huko bei ipoje
  5. Mike400

    Russia sio nchi ya kuitegemea kwenye muungano wa kijeshi na ulinzi

    Kwa hiyo kiduku akijichanganya akaingilia anaunganishwa chap na south 🤣🤣
  6. Mike400

    Je, huyu askari yuko sahihi ama anataka nimpe rushwa tu?

    Kiutaratibu ulipaswa kuripoti ili jalada lifungwe .. ilhali ulishachukua rb .. Hapo hamna namna mkuu .. we fungal jalada
  7. Mike400

    Kiatu cha kiume china 5000 bongo unauziwa 120,000/=

    Sio kweli .. China ni taifa linaloinukia kwa sasa .. na kumbuka mchina miaka ya 60 alikua chini mno ilhali hata kuifahamu China yenyewe haikua rahisi .. muarabu .. mzungu na mhindi ndo watu walikua wametoka na kuonekana huku kwetu ilhali hadi leo wahindi wanatamba kwenye maghorofa ya kila...
  8. Mike400

    Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets.

    Ni mda kidogo kipindi tupo primary.. yeye alikua sec .. uwanja tulokua tunatumia kuchezea mpira jioni ulikua karibu na home kwao ilikua ni kota za nhc walipauzaga wakahama .. kuna mshkaji alikua kila jioni lazima aje apige naye stori ..
  9. Mike400

    Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets.

    Ameishi moshi mjini kipindi hajajipata .. nadhani bi mdashi wake alikua teacher primary moja ya serikali hapo hapo moshi mjini ..
  10. Mike400

    Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets.

    Huyu wa mtaani kwetu kabisa .. kasoma moshi shule moja hivi .. anyway life is change
Back
Top Bottom