Recent content by midea

  1. M

    How I imagine people in JF

    usinizoee!!!koma!!nirudie??koma!!!!
  2. M

    I am scared!!

    usiniseme na wewe mbwa!.tena koma kabisaaa! mie sio huyo changu wenu,mnajifanya mnamchekea kumbe mnamzodoa..ala!
  3. M

    I am scared!!

    ombea huyo kelly asiwe huyo mata**.. trust me,NITAMTAHIRI NA CHUPA.. nasema peupeeeeeeee!..mmesikia..? hayo ya san fransinco au mwanelumango,tutayaongea baadae...
  4. M

    How I imagine people in JF

    huyu ndie partner in crime..wake kelly nini??????? USITUZUGE!!!!!!!!!!
  5. M

    I am scared!!

    muosha naye huoshwa,, muwinda naye huwindwa... yes we are watching youuuuuuuuuuuuuuuuu! shenzi type!yaani naandika mpk natetemeka kwa hasira..mama yangu naapa nisikujue wewe nyau??!garii tuu???eti vandalism?? haitoshi mie nitaondoka na roho yako! shenzi type!
  6. M

    How I imagine people in JF

    Mie wewe kelly nakuangalia tu humu..... As one of utamu victims.....ujue sikuangalii hivi hivi... Ngedere wewe....once proved wewe ndie huyo mmiliki wa zeutam,ujue nakupandia ndege..nikutahiri..nyau we!
  7. M

    Dkt. Mathayo na Ana Kilango: Same "Wachina" wa Tanzania mpaka "VILAZA" wa Kilimanjaro

    hahahahhaha....tena USIANZE!!!?? MKUU??nasisitiza 'MKUU'....USIANZE!kusema 'UNANIJUA' HAHAHAHHAHAHAHAHH...! ht sie wageni tumekujua,ikiwa ni watu wa karibu yako ndio wanaongelewa humu,unakuwaga km lunatic fulani hivi...hehhehe.... na watu humu naona wanaenjoy..kukuona....UNADATA..kwa...
  8. M

    Dkt. Mathayo na Ana Kilango: Same "Wachina" wa Tanzania mpaka "VILAZA" wa Kilimanjaro

    eti alitoa kontena la vitabu!afu mtu na akili zake,anasema sasa angefanyaje...tena??hovyooooooooooooo! hii inaonyesha reasoning yake,huyu mama ilivyo hovyoo...!! na wale wa karibu yake.ambao wangepaswa kumsaidia ..pia walivyo 'useless'..! lazima uwe na STRATEDGY....ukitaka kufanikisha jambo...
  9. M

    Waziri wa zamani, Chadiel Mgonja afariki

    hahhaha umenichekesha sana! sijamuona huyo mtoto wa mahita..ila napata picha,kilivyokaa kaa..hahhahahahhah...eti mkaona..KIMAHITA KITOTO hahhahhahahahahah
  10. M

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    pole masha....kila mtu,huwa anaface chalenging time..jikaze! sijaona lolote la serikali ya JK la kuni impress.. km issue ni utendaji mbovu,wote wako guilty,including JK mwenyewe,so wote wawe nje!ala! uchaguzi 2010 ndio huoo umekaribia,no wonder tunataka kuonyeshwa kuna linalofanyika...
  11. M

    Dr. Hildebrand Shayo

    inawezekana,sababu inaonekana huyu mtu aliyemjibu mashaka...ni mtu mwenye usongo naye... km ni yeye dr shayo,itakuwa ni sababu alishawahi kushushuliwa na mashaka...akawa mdogoooooooooooo me nampenda jamani mashaka...namuombea mungu ambariki kwa kila analolifanya...AMEN..
  12. M

    Kiwanja,Nyumba Dar es salaam

    mnh hizo bei... 8-)
  13. M

    Kumbe Michuzi Photopoint sio ya kwake!!!

    pananogaaaaaaaaaaaaa!
  14. M

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    pananogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  15. M

    Wasifu wa Masha: Maswali na Majibu

    he nilikuwa sijaona hii... anayezungumziwa humu ni MASHA na sio MIE...taratibu eenheeeeee?...again,mie na FMES ni watu wawili tofauti...!eboh!
Back
Top Bottom