Recent content by michaelnoah

  1. M

    Haya ndiyo matukio yaliyonifanya niidharau michuano ya Kombe la Mapinduzi

    Ila ndugu kama tukiongea football ni ipi tuseme sababu ya kushangaa kuona mchezaji akiwa jukwaani kisha baadae kushiriki mchezoni kama kuna sheria ipo against hiyo ni ipi ili tujifunze wote Ila pili ndugu watu wanaanzia kusema dk6 kuongezwa ni nyingi sasa swali linakuja kwamba je hizi dk6 ni...
  2. M

    Haki za upunguzaji ajira kazini

    Wadau natumaini wote mpo salama. Samahani je ni sawa kwa mwajiri kusitisha mkataba wa miezi 8 mbele kwa sababu za kiuendeshaji na kudai ni lazima mwajiriwa aweke sahii katika hati ya makubaliano kuwa anakulipa mwezi mmoja mbele lkn hayo ni maamuzi ya mwajiri je mimi Kama mwajiriwa haki zangu...
  3. M

    MSAADA UJUMBE WA unfortunately google has stopped kwenye Tecno C9

    Kama umefanya reset na indai ufanye update basi connect to a WiFi network Alafu run hiyo update . Kama kuna update ya firmware ipo available basi itafix hizo error messages ila kama amna updates basi inabid ufanye kuweka upya firmware which possibly inaweza kuondoa tatizo
  4. M

    Ucheleweshaji wa huduma majira ya usiku katika vituo vya Afya vya Serikali ya Tanzania

    Habari Za saa hizi wana JF . Hivi sasa nipo Magomeni hospital kwa kumuona daktari lakin nilichokuta hapa Ni mambo ya ajabu. Yani lisaa lizima watu wapo kwenye queue kwa maana daktari Ni mmoja kwa usiku Na wagonjwa Ni wengi wakiwemo watoto . Je mnaonaje kuhusu hili Na imagine we ndio upo hapa...
  5. M

    Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali

    Tunahitaji serikali ya mipango na maendeleo lakini kwa mwelekeo huu nchi itaangukia pua wafanyabiashara ambao wameajiri zaidi ya watu elfu mbili ambao wanachangia kiasi kikubwa leo hii hawadhaminiki, serikali ya viwanda imeperuka, ajira hakuna, nyongezaa za mishahara kwa wafanyakazi hakuna kila...
  6. M

    Bei ya kreti la soda kampuni ya pepsi ni kiasi gani

    Naomba msaada kwa yoyote anaejua bei ya manunuzi kwa kila kreti za pepsi na kama kuna idadi flani ya kreti ukichukua kuna kuwa na discount ? Msaada tafadhali
  7. M

    Turkish tour guide in Tz

    Habari za humu ndani wana JF. Natafuta mtu Tour guide mwenye uwezo wa kuongea na kuandika kituruki.kwa maelezo zaidi Tuwasiliane humu tafadhali +255653405474
  8. M

    Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

    Mkuu kuna hii itakuwa fresh kwa automible engineering . But ni used Pc Hp ProBook6450 Corei5 500Gb 4Gb ram #480,000/=TSHS +255653405474 WWW.FAHARIHOST.COM E:support@faharihost.com Facebook page : faharihost
  9. M

    MSAADA WA KUTOA ICLOUD KWENYE iPhone

    No way to do that apart from interview with Apple apprived agent cause the id of icloud is stored on the motherboard of the device . So you have to answer the security quenstions for your icloud account approval
  10. M

    Msaada wanateknolojia

    Fanya hard reset by pressing volume up +power button Kisha tumia volume up & down buttons kufanya navigation Select wipe data and reset phone , by pressing power button to select
  11. M

    Ukitaka ku-enjoy maisha ya ndoa oa single mother

    Wapo walio olewa na kuachika zaidi ya Mara 3 nao tatawaweka kundi gani Mkuu
Back
Top Bottom