Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

Mkuu anza na laptop yeyote yenye dedicated graphics card za Nvidia (with CUDA cores) mfano HP pavilion dv7(GT 650M, Core i7 3036QM) lakini wakati huo kuendelea ujitahidi ku-save pesa kwa ajili ya mashine nzuri itakayofanya kazi kwa ufanisi zaidi. Asikudanganye mtu, nyenzo duni za kazi ndiyo chanzo cha watu kukata tamaa na kupata matokeo mabovu ya kazi.
Jibane mkuu mbeleni upate workstation zenye NVIDIA QUADRO kwa ajili ya kazi nzito kama engine simulation n.k

This is a one time investment ni bora akajikusanya ili achukue machine ya uhakika.
 
Tuache utani engineer gani bongo ?? Pentium 1 iliwezesha kwenda mwezini utasikia mpuuzi anataka computer ya hali ya juu wakati analolote kiutendaji
..Ukweli ndio kila kitu....na ulichokisema ndio ukweli.
 
Mkuu anza na laptop yeyote yenye dedicated graphics card za Nvidia (with CUDA cores) mfano HP pavilion dv7(GT 650M, Core i7 3036QM) lakini wakati huo kuendelea ujitahidi ku-save pesa kwa ajili ya mashine nzuri itakayofanya kazi kwa ufanisi zaidi. Asikudanganye mtu, nyenzo duni za kazi ndiyo chanzo cha watu kukata tamaa na kupata matokeo mabovu ya kazi.
Jibane mkuu mbeleni upate workstation zenye NVIDIA QUADRO kwa ajili ya kazi nzito kama engine simulation n.k
Mkuu hizo zinafikia kiasi gani,nianz kujipang na mapema
 
Wakuu habar zenu,nasomea automobile engineering naomba kufahamishwa ninunue laptop yenye uwezo gani na brand gani ambayo itakidhi shughuli zote za masomo yangu.Nina bajeti ya 400000/= na kama itanibidi niongeze pesa ili nipate laptop itakoyanifaa zaidi nipo tayar kuongeza.
Mkuu kuna hii itakuwa fresh kwa automible engineering . But ni used Pc

Hp ProBook6450 Corei5
500Gb
4Gb ram
[HASHTAG]#480[/HASHTAG],000/=TSHS

+255653405474
WWW.FAHARIHOST.COM
E:support@faharihost.com
Facebook page : faharihost
 
kwa vyovyote vile jitahidi kuanzia katika KIZURI, kipekee ningekushauri uongeze mkwanja at least USD $600 utafute gamming Pc, i mean LENOVO, DELL etc "Mbegu nzuri huzaa mmea mzuri"
 
Mkuu hizo zinafikia kiasi gani,nianz kujipang na mapema
Mkuu labda nikupe mfano wa my dream mobile workstation, ni
Hp Omen 15.6

Specifications
  • 2.5 GHz Intel Core i7-4870HQ Quad-Core
  • 16GB of 1600 MHz DDR3L RAM
  • 15.6" IPS UWVA Anti-Glare Touchscreen
  • Full HD 1920 x 1080 Screen Resolution
  • NVIDIA Quadro K1100M Graphics Card (2GB)
  • 512GB Z Turbo Drive M.2 PCIe SSD
  • 802.11ac Wi-Fi & Bluetooth 4.0 LE
  • Windows 10 Pro (64-bit)
Bei yake ni kama milioni 2.2(bila kodi) lakini siyo lazima iwe hivyo maana kwa budget hii unaweza kutengeneza custom desktop PC nzuri sana kama hutojali portability (mobility).
Kumbuka siyo lazima uanze na investment kubwa kiasi hiki kwa kazi ambayo bado haijaanza kuingiza kipato, anza na PC yeyote yenye 3rd au 4th generation processor na dedicated graphics card.
Ukifanikiwa kupata laptop hizi used jaribu kufanya upgrade ya RAM(at least 16GB 1600mhz) na Hard disk budget ikiruhusu ipe SSD za Samsung EVO Series hautojuta.
 
Tuache utani engineer gani bongo ?? Pentium 1 iliwezesha kwenda mwezini utasikia mpuuzi anataka computer ya hali ya juu wakati analolote kiutendaji
Pentium I ya kipindi icho,we pamoja na ukoo wake wote msingeweza afford kuinunua,technology sio history ,hakunaga kukariri
 
Mkuu, kipindi hicho cha Pentium 1 ilikua na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi na software husika. Anachoomba mkuu wetu ni kujua aina ya laptop ya sasa yenye uwezo wa kufanya kazi na 3D rendering softwares za kisasa na siyo floppy disks. Masuala ya kiutendaji yatakua juu yake.
Nyinyi ndo wapumbavu wa taifa letu mnaosema elimu ni kwa faida yako mwenyewe mana umesema utendaji ni juu yake ili inchi iwena maendeleo nilazima tukatae kuwa elimu ni kwafaida yako binafsi huo ndo msingi wa ufisadi na ndo mana serikali inakataa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote kwa kuwa INA akili kama zako laiti ingejua kuwa elimu inatakiwa kuwa kwa faida ya taifa isingefanya hivyo
 
Nyinyi ndo wapumbavu wa taifa letu mnaosema elimu ni kwa faida yako mwenyewe mana umesema utendaji ni juu yake ili inchi iwena maendeleo nilazima tukatae kuwa elimu ni kwafaida yako binafsi huo ndo msingi wa ufisadi na ndo mana serikali inakataa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote kwa kuwa INA akili kama zako laiti ingejua kuwa elimu inatakiwa kuwa kwa faida ya taifa isingefanya hivyo
Wewe ni mmoja kati ya watu wengi mnaovamia jukwaa hili na kudandia mada msizo zielewa! iyo gharama tu ya icho kifaa atachonunua si chini ya 1.5m inakuaje matumizi yake yasiwe ni kwaajili ya faida yake ikiwa tu atatoa pesa hiyo kununua icho kifaa husika?
 
Wewe ni mmoja kati ya watu wengi mnaovamia jukwaa hili na kudandia mada msizo zielewa! iyo gharama tu ya icho kifaa atachonunua si chini ya 1.5m inakuaje matumizi yake yasiwe ni kwaajili ya faida yake ikiwa tu atatoa pesa hiyo kununua icho kifaa husika?
Wewe utakuwa ni m bongo mwenye PhD lazima unamatatizi ya akili
 
huwa laptop za games ndio hizo hizo za engineer, bei zake ni mamilioni ya hela, sababu budget ni tight tafuta used laptop za 4th generation ambazo cpu zake zinaishiwa na m au qm na hq unazipata around 500,000 inaweza shuka kidogo au kupanda kidogo. angalia kupatana.


acha fix.. hamna laptop za engineering laptop ni laptop
 
acha fix.. hamna laptop za engineering laptop ni laptop
kama laptop ni laptop mbona zipo za laki 4, za laki 5 za milioni, za milioni mbili etc, kwanini nyengine huuzwa ghali na nyengine huuzwa bei rahisi? nini husababisha hivyo?
 
Mkuu computer yoyote ile ni nzuri tu sema angalia applications ambazo zitaendana na hiyo mashine. BTW AutoCAD sio ndio muhimu kwenye engineering itakuwezesha kurahisisha ufanyaji kazi wako na presentation.
 
Back
Top Bottom