Habari wakuu,
Mimi nauza nyuma iliyopo tabata segerea, karibu na kota za nssf.
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba vitatu ikiwemo materbedroom kubwa sana, sitting room kubwa, dining room, kitchen, store, jiko na uwanja mkubwa wa parking.
Nyumba hii ni mpya haija hamiwa.
BEI: 150,000,000 Tsh...