Nyumba inauzwa--tabata segerea-dar es salaam

Nyumba inauzwa--tabata segerea-dar es salaam

Joined
Jan 6, 2012
Posts
31
Reaction score
5
Habari wana jamii,

Nyumba inauzwa yenye sifa zifuatazo:
3 bed room including Master bedroom, sitting room,dining room,kitchen, public toilet,store etc. Also the site has enough space for car parking (up to 5 car) 25m2.
Kiwanja kipo maeneo ya juu. Nyumba bado ni mpya haijahamiwa.




Kwa maelezo zaidi:

Contacts:Mr. Mchomvu: 0755 549 304 or 0715 549 304 or email: amchomvu@hotmail.com
 
Mbona picha wala bei ya nyumba havitolewi ili wanaojipanga kununua tuanze kukutwangia? Weka vitu hivyo haraka ili uone tutakavyochangamka.
 
Bei ya kuanzia na picha mhimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom